Diamond anyakua tuzo 3 zinazotolewa na Chomva 2014

sio mwarabu ni mganda sema kachanganya babu yake kwa mama ni mhindi na bibi yake kwa babu yake kwa baba ni msomali. na bibi yake ni mburundi.

Duuh huu undugu wa file si mchezo lazima usome mara 3 tatu
 

Ukisikia ujinga ndio huu, Diamond ndio amemtangaza Zari kabla ya hapo sikuwahi kumjuwa hata picha yake ya kwanza kuwekwa humu akiwa na Le Mutuz wala haikunipa attension yoyote.

Labda kama ni kumtangaza kwenye orodha ya mabwana zake i agree with you.
 

hahahaaahahaa besttt
 
Kumbe wewe unajuaa ungegonga kabisaa Zari kifaa jamaniii ,,,halaf sio mkubwa kihivyoi kama wabavyomkuza watu humuu

Huyu ndio rika lake usidanganyike na makeups.
 

Attachments

  • 1417465592162.jpg
    77.2 KB · Views: 111
kuna picha moja imeonesha mashavu umeona aslivyokomaa na kono lile....kumbe anajiedit km love diva hahaha
 

Dayuuum!

Don't hate, congratulate.
 
Maajabu ya Watanzania, wale wale wasio mashabiki wa Diamond ndio wanajifanya ku-feel so sorry kwa Diamond kuwa na Zari! Acheni unafiki wenu tena unafiki wa kijinga! Hivi tangu lini nyie Team Wema na Team Kiba mkawa na mapenzi kwa Diamond hata mjifanye ku-feel sorry? Hivi kama sio unafiki tuite nini?

Labda tuseme hivi. Diamond, kwa mapenzi yake ameamua kuwa na Zari, awe bibi kizee au kijana, lakini ndo ameshaamua! Wewe ambae inakukera as if Diamond ni ndugu yako au una haki ya kuingilia his private life, tayari Chibu keshaamua, kama vipi, kunyeni maboga.
 
Maajabu haya. Mapenzi ya Diamond na Zari anakuja kuwaka mtu mwingine.
 
kuna picha moja imeonesha mashavu umeona aslivyokomaa na kono lile....kumbe anajiedit km love diva hahaha
Sawa, lakini yeye kampenda hivyo hivyo kwa sababu wakati wewe unamuonea kwenye picha mwenzako anamuona akiwa nae zero distance na bado anaona okay.
 
Hhheeeee kwa hiyo zari analingana na mama Diamond??? Yaan 30 na kitu amekua mzee j.lo ana miaka mingi lakin anatembea na katoto kadogo,,we mwenyewe hapo unamtamani zari ile mbaya sema tu hujampata heheeeee
Bhana eeeeeh, nini 30 hata kama ni 55 ndo keshaamua, asiyetaka akanye boga kwa sababu haya ni maisha binafsi ya Chibu na hakuna mwenye haki ya kuyaingilia hususani hawa wapiga kelele wa kwenye mitandao!
 
Huu ndio ushabiki unaotakiwa. Watu wajadili kazi na sio maisha binafsi ya watu. IKiwa Chibu ameamua kuwa na bibi kizee, ni yeye na ni maisha yake. Ushauri sawa, lakini sio mtu unawaka mapovu yanamwagika as if una ubia na maisha yake. Haya mambo ya kuingilia maisha binafsi ya watu ndio yalifanya hadi mapenzi ya Diamond na Wema yaingie kwenye mtihani. Team Wema walikuja juu na Bring Back Our Wema... Wema wao wamempata lakini wao ndio wa kwanza kuingilia maisha binafsi ya Chibu... wapi na wapi!

Binafsi napenda kazi za watu. Namkubali zaidi Diamond kuliko Kiba lakini sina chuki na Kiba na ninasikiliza kazi zake kama kawaida na ikitokea show yake natimba kama kawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…