Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Kwani kumpongeza hadi aandike Instagram?
Mwenzangu hili nalo neno
Wanafikiri kila mtu ana insta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kumpongeza hadi aandike Instagram?
team Wema wanajipoza kwakuweka picha za boss wao tu huko instagram.
sio mwarabu ni mganda sema kachanganya babu yake kwa mama ni mhindi na bibi yake kwa babu yake kwa baba ni msomali. na bibi yake ni mburundi.
Alipost nn?Hahahaa
Zari ni nomaaa
Halafu post yake ya jana insta Umenifurahisha sn
dah kweli aliyepewa kapewa yaan zomeazomea yote ile aliyopewa leaders lakini kashinda tena kwa kishindo.haa kweli wenye chuki mnatakiwa kwa wingi ili tufanye kaz kwa juhud maana bila nyinyi tusingekuwa na ujasiri wa kupiga kura kwa wingi
Bongo wivu mwingi sana, huyu mtoto ana kipaji sana kwa kweli lazima tujifunze ku appreciate- Diamond is more than good, he is shining so bright na nyota yake haiwezi zimwa kwa zomea zomea
Mungu nae kazidi makusudi... yaani anatuletea kiumbe kama huyu:View attachment 207706kutaka vijana watukuze utukufu wake halafu wasemangwe kwamba wanagonga wazee... potelea mbali bhana!
Fuska we umemtia?Hivi huyu fuska ana rangi ngapi au ni kinyonga?
ok.. Mkoa wa songea!!!Kweli.nimeamini Watanzania wengii hawana kazi hasa wakazi wa dar ni wavivu kupindukia. Muda wa kazi wanamshangaa huyu zuzu. Mikoa ya wachapa kazi kama Songea huwezi ona huu ujinga
Fuska we umemtia?
Kumbe na wewe ni hodari enh wa maneno ya kuokoteza barabarani! Unaweza kutuwekea hapa ushahidi unaoonesha she's +HIV? Au umekutana maneno ya Team Wema na wewe ukayabeba kama yalivyo!!Huo ukimwi mimi niupeleleke wapi?
Domo anaposhangilia ushindi ni vyema pia kumshukuru davido aliyempenyeza kwenye anga hizo. Kwanini sio nataka kulewa, mawazo n.k? Kwa kifupi tuzo hizi ni za davidoo (Kama waniger wenyewe wanavyotamka)