WAkenya The Akili Kubwa.....Kule hakuna Simba wala Yanga.View attachment 3171799
Diamond alikuwa na Show ya ku-peform kwenye Show ya Raha-festival huko Kenya π°πͺ,
Ambapo Diamond, alisusa na kukataa ku-peform kutokana na kutokuwa na Maelewano kati ya yeye na waandaaji wa Tamasha hilo.
Fungua video kupata mkasa mzima
View attachment 3171794
View attachment 3171796
View attachment 3171797
Wasanii wetu ni budi wakajihafhari sana wanapoingia mikataba ya kazi. Kama kuna ammendments ni vizuri kufanyika kabla ya kusaini maana ukishasaini mkataba wa kazi unakuwa umejifunga kuuheshimu na kuutekekeza
Au Mungu ameanza kujibu Maombi Taratibu?View attachment 3171799
Diamond alikuwa na Show ya ku-peform kwenye Show ya Raha-festival huko Kenya π°πͺ,
Ambapo Diamond, alisusa na kukataa ku-peform kutokana na kutokuwa na Maelewano kati ya yeye na waandaaji wa Tamasha hilo.
Fungua video kupata mkasa mzima
View attachment 3171794
View attachment 3171796
View attachment 3171797
Wasanii wetu ni budi wakajihafhari sana wanapoingia mikataba ya kazi. Kama kuna ammendments ni vizuri kufanyika kabla ya kusaini maana ukishasaini mkataba wa kazi unakuwa umejifunga kuuheshimu na kuutekekeza
Kauwanja kaduchu na watu kiduchu kama mkutano wa kassimMondi bland kubwa hawezi perform kwenye hizo stuations za kijinga. Wakenya makanjanja sana
Hii safari ilikuwa na mshkeli maana hata haikuvuma pamoja na kwamba waliisfanya iwe talk of town.Ndo Ile safari aliyoondoka kwa mbwembwe za magari?
Huyu Will Poul naye alishaenda kuangalia movie kwa Pdidy?Wakenya wasenge sana wanalinganisha Diamond na Will poul mtoto wa jana hana hata tuzo
USSR
Hii ni kwa pande zote, maana utekelezaji pia una masharti.maana ukishasaini mkataba wa kazi unakuwa umejifunga kuuheshimu na kuutekekeza