Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Kaka kuna kadi za Visa zinaitwa Platnum Credit Card(kama anavojiita) bank yako ikikupa hii card kwa hapa Tanzania ,unauwezo wa kutoa pesa taslim mpaka million 70!!.Pia ina benefits nyingi sana. hoteli nyingi ukiwa nayo menaja wa hotel lazima akuone [emoji16]kama mjanja na anazo hela atuonyeshe hii kadi,kidogo ntaweza amani kuwa ana pesa.
Kizazi cha kina tyson na jack chain sio sawa na cha sasa...kizazi cha sasa wengi wanajitambua, wanakula bata ila wanawekeza pia
acha tu! kuna watu hapa Tanzania wanazo hizi kadi...lakini cjawai waona wanajishow off kama awa wengine.duh nilikuwa sijawahi kuisikia hii mkuu, kweli hapa duniani kuna vitu vingi hatuvijui.
acha tu! kuna watu hapa Tanzania wanazo hizi kadi...lakini cjawai waona wanajishow off kama awa wengine.
Itakua za show ya MalawiSio kuringiahia anakupa jasira kama hivi halafu anakupa somo kuwa hata wewe unaweza halafu baada ya hapo unaanza kuchapa kazi.
Hizo ndio kalipwa baada ya kampeni nini? ππππ
Unamshaur mtu kajitaftia pesa zake mwenyew....ulimshaur jins ya kuzisaka chifuKuna umuhimu wa kumshauri. Inawezekama ni kujionyesha lakini kwa tekinolojia ya sasa hela nyingi hazishikwi. Zinaonekana kwenye makaratasi tu.
Unajua jack chan yupo kwenye top 5 ya wasanii wenye mpunga mrefu dunianiKizazi cha kina tyson na jack chain sio sawa na cha sasa...kizazi cha sasa wengi wanajitambua, wanakula bata ila wanawekeza pia