mkataapema
Senior Member
- Apr 11, 2011
- 108
- 53
Yaani ulivyoandika hivi umenikatisha tamaa kusoma comment zaidi! Kwanini mko sensitive na vitu vidogo hivyo! Utakuta hapo ulipo hata kanisa hujui lilipo! Hongera Diamond!Nasikia Tatizo Daimond ni Mdini sana, kukusaidia ni mpaka uwe mtu wa dini yake, yani kuanzia meneja zake wote mpaka wasanii anao watoa?