Diamond Aongeza Nyumba nyingine

Diamond Aongeza Nyumba nyingine

Kwa pesa alizokua nazo si wakununua nyumba bali kujenga. Tena unatafuta kiwanja kikubwa sana magarden ya kutosha viwanja mbalimbali na ma swimming pool halafu ndio apaite state house
Kwa hilo nakubaliana na wewe
 
Kabisa.....ifikie mahali sasa ajenge nyumba ya ukweli........ingawa hata hizi nazo amejitahidi ila ajitahidi zaidi.

Kabisa..! Ila sanaa yetu hailipi kiivo kusema afanye mambo milioni kwa wakati mmoja, ndio maana ananunua nunua nyumba zilizokamilika. Afu Kumbuka kwa sasa investment kubwa inayochukua pesa ni WCB, wasanii wapya aliowasaini na kuibrand label iliyoajiri zaidi ya watu 42, ndiomaana attention yote anaipeleka pale, huku bado akiwa na madeni ya "Mavazi ya WCB, Chibu beats n.k"
 
Kabisa..! Ila sanaa yetu hailipi kiivo kusema afanye mambo milioni kwa wakati mmoja, ndio maana ananunua nunua nyumba zilizokamilika. Afu Kumbuka kwa sasa investment kubwa inayochukua pesa ni WCB, wasanii wapya aliowasaini na kuibrand label iliyoajiri zaidi ya watu 42, ndiomaana attention yote anaipeleka pale, huku bado akiwa na madeni ya "Mavazi ya WCB, Chibu beats n.k"
anyway atafika tu ingawa walisema ni bilionea.
 
Kwa pesa alizokua nazo si wakununua nyumba bali kujenga. Tena unatafuta kiwanja kikubwa sana magarden ya kutosha viwanja mbalimbali na ma swimming pool halafu ndio apaite state house
Kama anazinunua kwa ajili ya biashara kuna tatizo?
 
Kijana yuko vizuri na anaonyesha mfano, ila akiwa na huyu mama Mganda naona amejaaliwa kutengeneza mali zaidi.
 
Yeye anapenda kuviita vibanda,leo tena amekamilisha manunuzi ya nyumba nyingine maeneo ya kunduchi kupitia Dalali mwanamkee.....Naona Diamond kila akimsainisha msanii katika lebo yake laZima aongeze na nyumba

Je kuna haja ya kumchukia Diamond kama wengine wapo bize kubadiri mademu yeye yupo bize na nyumba
df8fc823341a182282dc23b4139baf79.jpg
Hongera kijana
 
naona amemkabodjo mama ili yule dogo apumzike vizuri bila woga wala bughudha na kama bado menop basi tutarajie ..........
 
anafanya poa sana broda sio kama wapuuzi qengine wanalala na malaya
 
Nkajua nyumba kumbe n hiki kibanda cha matofali ya kuchoma
 
Akanunue nyumba masaki kamfundisheni biashara nyumba ni liability..unanunua 200m unaipangisha laki 5 kwa mwezi miaka mingapi utarudisha hiyo hela kama sio money laundry.kama za masamaki
 
Back
Top Bottom