UNIVERSE
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 587
- 558
Kwa hilo nakubaliana na weweKwa pesa alizokua nazo si wakununua nyumba bali kujenga. Tena unatafuta kiwanja kikubwa sana magarden ya kutosha viwanja mbalimbali na ma swimming pool halafu ndio apaite state house