mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Mirahaba? Kwani ana kitalu mgodi gani
habari yako haijakamilika
Mleta mada ndiye aliyekaimu nafasi ya H.O.D nini?hatupumui kila saa diamond....
Kama ni kuvunja rekodi Kenya kupata mshiko mrefu basi tufananishe na rekodi ya MR NIce wakati huo akiwa Kenya na rekodi ya MR.Blue
Kazi ipoooooooo
Hivi mbona mnapenda kumZoom Mr nice kiivyo?
Ule umillionea wa kuendesha baloon na kushinda bar masaa 24 na wapambe ndio unawachanganya au.
Si ubilionea mleta thread anaweka mazingira ya kuonyesha diamond ndo msanii aliyevunja record kulipwa mpunga mrefu huko Kenya,Mr nice mlevi but je hapo kwenye rekodi ya malipo?
Mr nice alikuwa analipwa kiasi gani huko Kenya kama unafahamu?
Sijui ila hata kwenye media za Kenya Mr Nice karushwa zaidi kuliko diamond.
kwani na wewe ni point five
Una maana gan?
Shombe shombe au mwarabu wa kuapia.
Mi sio mwarabu banaa teh teh