HAjui vipumo vyake, na thamani yake kwa sehemu kam kenya na hasa nairobiI doubt kama unafahamu ukubwa wa robo eka as a residential place!
Hivi unafahamu kwamba robo eka is for low density residential area unayowea kujenga nyumba mbili za maana na eneo likabaki!
ruge na shonza ni vimchwa vidogo sana ..wanajisumbua kwa huyu jamaa ngoja aende kumtembelea rais wa dar kila kitu kitasawazishwaRuge anamtumia Shonza kumharibia dogo Watanzania bure kabsa hongera Diamond, watapambana tu but muda ndiyo mwalimu mzuri.
hao wanajibu kwa kuhamaki maybe kutokana na chuki kali kwa jamaa kama unavyojua baadhi ya wabongo ni wachawi sema hamna vifaa tuI doubt kama unafahamu ukubwa wa robo eka as a residential place!
Hivi unafahamu kwamba robo eka is for low density residential area unayowea kujenga nyumba mbili za maana na eneo likabaki!
Kataa kuwa kaa wewe!!! Mijitu ya Lumumba banaRobo heka nayo ni ardhi ya kukaa star!garden,parking,swimming pool,courts au ndio bora kitu kuliko kukosa kitu
Naaam.....Narudia tena kusema huyu ' Jamaa ' mtamsema, mtamtusi na kumdhihaki kadri muwezavyo ila matunda ya Kazi zake, Kujituma Kwake, Kuwa mbunifu na Kujipanda ndiko kila siku kunamweka na bado kutamweka Kileleni Kimafanikio. Nasib Abdul ( Diamond Platinumz ) anatupa ' Funzo ' zuri na kubwa sana akina Sisi wenye ' akili kulala ' au ' akili mlegezo ' kama si ' akili goigoi ' kupambana na kutokata tamaa katika kuyatafuta mafanikio ya kweli.
Namuombea kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) mafanikio zaidi na hakuna Siku ambayo nimewahi kumuombe Mtu ' baraka ' kwa Mwenyezi Mungu na asinijibie Kwake hivyo naamini Nasib Abdul ( Diamond Platinumz ) atazidi kuwa juu na juu na Sisi wengine tusichoke kumchukia, kumteta, kumdharau na kumzushia kwani yawezekana hii roho mbaya Yetu Kwake basi Maulana ndiyo anaigeuza kuwa Shani na Baraka Kwake.
[emoji1]Ali kiba na yeye kapewa ardhi Marekani
Unajua robo heka ni mita ngapi za mraba au unaongea tu ni robo heka gani uliosema kwamba mtu unajenga mansion(Hekalu)hamkawii kusema nina wivu wa kike wakati mi nimechangia mada kwa maono yanguHawa wamezoea kukatiwabshamba la mtu. Unajenga na kubakiza sehemu ya matuta ya viazi vitamu vya chai asubuhi
Uneshawahi kuona town mansions za sikuhizi za Ulaya, wana design with limited space kitu kinasimamaUnajua robo heka ni mita ngapi za mraba au unaongea tu ni robo heka gani uliosema kwamba mtu unajenga mansion(Hekalu)hamkawii kusema nina wivu wa kike wakati mi nimechangia mada kwa maono yangu
uku akiwa hujui thamani yakeHawa wamezoea kukatiwabshamba la mtu. Unajenga na kubakiza sehemu ya matuta ya viazi vitamu vya chai asubuhi
Mkuu kumiliki ardhi kenya sio bahati nasibu mkuu kenya ardhi ni chache sanaa na haimilikiwi na serikali kama uku tz.Robo heka nayo ni ardhi ya kukaa star!garden,parking,swimming pool,courts au ndio bora kitu kuliko kukosa kitu
Asee huyu Dada Mtafuta Kiki kinoma..hadi anaboaKenya wana mlilia uku kwetu ndo kwanza wana angaika kufungia nyimbo zake[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] nd shida ya kua na viwaziri vi dem si kali nyimwa MB
Huyo anawivu wa kike istoshe hajui ardhi kenya thamani yke ni mara tatu ya ardhi yetu,wakenya wenye uwezo ndio wamejenga mijini waliobaki kijijinikwa kenya robo heka ni ardhi kubwa sana huwezi kuelewa mpaka wajuvi tunaoijua kenya kinaga ubaga tukufafanulie.
we jamaa unaandikaga nothingNarudia tena kusema huyu ' Jamaa ' mtamsema, mtamtusi na kumdhihaki kadri muwezavyo ila matunda ya Kazi zake, Kujituma Kwake, Kuwa mbunifu na Kujipanda ndiko kila siku kunamweka na bado kutamweka Kileleni Kimafanikio. Nasib Abdul ( Diamond Platinumz ) anatupa ' Funzo ' zuri na kubwa sana akina Sisi wenye ' akili kulala ' au ' akili mlegezo ' kama si ' akili goigoi ' kupambana na kutokata tamaa katika kuyatafuta mafanikio ya kweli.
Namuombea kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) mafanikio zaidi na hakuna Siku ambayo nimewahi kumuombe Mtu ' baraka ' kwa Mwenyezi Mungu na asinijibie Kwake hivyo naamini Nasib Abdul ( Diamond Platinumz ) atazidi kuwa juu na juu na Sisi wengine tusichoke kumchukia, kumteta, kumdharau na kumzushia kwani yawezekana hii roho mbaya Yetu Kwake basi Maulana ndiyo anaigeuza kuwa Shani na Baraka Kwake.
Wakenya unawajua ??Huyu jamaa namshauri aweke base Kenya,
huko anakubalika kuliko nchi zote za EA
Tz awe anakuja kutembea tu
Huyu anajuhudi Sana bahati pasipo juhudi ni buretruly jama kazaliwa na bahati