Kwahyo unataka kuifananisha akili kubwa ya diamond na akina Ray c wabwia unga..!!! Akina Hussein machozi kina baby madaha!!!! Are you serious???Wakenya unawajua ??
- Ray C aliweka akarudi amebuma.
- Top Band waliweka wakarudi wamebuma.
- Hussein Machozi aliweka akarudi amebuma
- Baby Madaha aliweka akarudi amebuma.
Kenya ni sehemu ambayo wasanii huwa wanakimbilia baada ya kubuma Tanzania, ni sawa na Msanii wa Marekani kuanza kufanya shows Africa baada ya kubuma USA/EUROPE !
Mpe dadako basi, mzee wa kuwaf**raKwahyo unataka kuifananisha akili kubwa ya diamond na akina Ray c wabwia unga..!!! Akina Hussein machozi kina baby madaha!!!! Are you serious???
Atazikwa Nayo ?truly jama kazaliwa na bahati
niko serious.mhh mkuu unamaanisha au unatania?
Robo heka nayo ni ardhi ya kukaa star!garden,parking,swimming pool,courts au ndio bora kitu kuliko kukosa kitu
Mkuuu imekuchoma nini?? Kama vp chomoa [emoji23][emoji23][emoji23]Mpe dadako basi, mzee wa kuwaf**ra
Sema tu hapendi showoffAli kiba na yeye kapewa ardhi Marekani
Ndio manake mzee babaSema tu hapendi showoff
Watashindana nawe lakini hawatakushinda.Narudia tena kusema huyu ' Jamaa ' mtamsema, mtamtusi na kumdhihaki kadri muwezavyo ila matunda ya Kazi zake, Kujituma Kwake, Kuwa mbunifu na Kujipanda ndiko kila siku kunamweka na bado kutamweka Kileleni Kimafanikio. Nasib Abdul ( Diamond Platinumz ) anatupa ' Funzo ' zuri na kubwa sana akina Sisi wenye ' akili kulala ' au ' akili mlegezo ' kama si ' akili goigoi ' kupambana na kutokata tamaa katika kuyatafuta mafanikio ya kweli.
Namuombea kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) mafanikio zaidi na hakuna Siku ambayo nimewahi kumuombe Mtu ' baraka ' kwa Mwenyezi Mungu na asinijibie Kwake hivyo naamini Nasib Abdul ( Diamond Platinumz ) atazidi kuwa juu na juu na Sisi wengine tusichoke kumchukia, kumteta, kumdharau na kumzushia kwani yawezekana hii roho mbaya Yetu Kwake basi Maulana ndiyo anaigeuza kuwa Shani na Baraka Kwake.
See your miserable life...Robo heka nayo ni ardhi ya kukaa star!garden,parking,swimming pool,courts au ndio bora kitu kuliko kukosa kitu
Hapana.Robo heka ni 35m x 35m.
Bahati bila kujituma utabaki unasifia wenzio tuu..truly jama kazaliwa na bahati
sawa mkuuBahati bila kujituma utabaki unasifia wenzio tuu..
jamaa anajituma ndio maana unaona anafanikiwa