Diamond asafirisha magari yake ya kifahari Rolls-Royce, Escalade Zanzibar kwa matumizi ya Tuzo za Trace. Harmonize adata na showbiz za Diamond

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amesafirisha magari yake ya kifahari aina ya Rolls-Royce na Cadillac Escalade hadi Zanzibar. Magari hayo yanatarajiwa kutumika katika msimu huu wa Tuzo za Trace, zinazofanyika leo, Februari 26.

Your browser is not able to display this video.
Harmonize adata na showbiz kutoka kwa Kaka yake na ku-post video hii na ujumbe huu; "So proud of you broskizo, i think i have learn more about showbiz nawaza zime paa au simeogelea your very serious about really wanna meet you today big love!"

Your browser is not able to display this video.
Soma, Pia
 
Yako ujapelekaaa
Cc
Pdidy2025
 
Itamsaidia kufikisha ujumbe sahihi alioukusudia. Hapo kuelewa ujumbe alioufikisha ni mtu ajiongeze tu kwamba itakuwa anamaanisha hivi.

Pia ana mashabiki kutoka sehemu mbali mbali duniani . Ni muhimu kujua hiyo lugha.
Sawa nipo nae hapa anasema anashukuru sana kwa ushauri nzuri pia anasema ataufanyia kazi ushauri wako
 
Il
A escallade liko kinyama sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…