Diamond asafirisha magari yake ya kifahari Rolls-Royce, Escalade Zanzibar kwa matumizi ya Tuzo za Trace. Harmonize adata na showbiz za Diamond

Diamond asafirisha magari yake ya kifahari Rolls-Royce, Escalade Zanzibar kwa matumizi ya Tuzo za Trace. Harmonize adata na showbiz za Diamond

Safi sana kijana Diamond, anaendelea kuhamasisha vijana wa kitanzania tupambane kutafuta pesa
Kikombe alicho kinywea utakiweza?
Kuna baba zako pale keko wanapiga kazi za fanicha 12/7 toka hujazaliwa Hadi Leo, hawajamudu japo Coaster mpya ya 70M
 
Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amesafirisha magari yake ya kifahari aina ya Rolls-Royce na Cadillac Escalade hadi Zanzibar. Magari hayo yanatarajiwa kutumika katika msimu huu wa Tuzo za Trace, zinazofanyika leo, Februari 26.

Harmonize adata na showbiz kutoka kwa Kaka yake na ku-post video hii na ujumbe huu; "So proud of you broskizo, i think i have learn more about showbiz nawaza zime paa au simeogelea your very serious about really wanna meet you today big love!"

Soma, Pia
Sawa sawa
 
sasa hapo ishu kubwa ni nini? kwani kuna ukubwa gani wa gharama kwenye kusafirisha hizo gai mpaka zenj mpaka ndio ionekanwe gumzo?
 
sasa hapo ishu kubwa ni nini? kwani kuna ukubwa gani wa gharama kwenye kusafirisha hizo gai mpaka zenj mpaka ndio ionekanwe gumzo?
Hata kuzimiliki I presume unaona ni kitu kidogo sana let alone kumudu running costs, huko TZ these days vijana mna hela sana.
 
Back
Top Bottom