Mond try to keep your family matters personalMsanii diamond platnumz amekiri anamiezi zaidi ya 3 hajatuma matumizi ya watoto wake South kwakuwa mzazi mwenzake Zari haonyeshi ushirikina wa kumpa kuongea na watoto wake Tiffah na Nillan.
Anasema mwazo alikuwa anatuma dola 2000 kwa mwezi lakini ameacha hata tuma tenaView attachment 1079775
Nimekambia kama hauruhusu niongee na watoto situmi .dawa ya kiburi ni jeuriPesa kwa ajili ya Nani? Unatakiwa kuniuliza kabla hujatuma, ule sio msaada Ni jukumu lako Kama unavyojinunulia chakula
Tatizo wengi kutoa matumizi mnachukulia Kama kutoa msaada mtu mpaka ajikombe
Msanii diamond platnumz amekiri anamiezi zaidi ya 3 hajatuma matumizi ya watoto wake South kwakuwa mzazi mwenzake Zari haonyeshi ushirikina wa kumpa kuongea na watoto wake Tiffah na Nillan.
Anasema mwazo alikuwa anatuma dola 2000 kwa mwezi lakini ameacha hata tuma tenaView attachment 1079775
Kwani hapa kwako??Kwani Kuna mtu kakuita mkuu?
Yani unizuie kuongea na wanangu halafu bado nikutumie pesa labda niwe na kichaa. Situmi
Tuiuze tugawane pesa.Nchi hii imenishinda, naigawa bure tu.
Weee ishia hapohapo, yani ampe mama dangote $2000 za kina Tiffa ili hali anajua kabisa mume wa mama yake ni tapeli?Diamond ni muongo, interview yake alikua anajikanyaga kanyaga, hajawahi tuma child support ni muongo, anamsingizia zari kua hatoi ushirikiano Hapo hapo ansema zari ana mawasiliano mazuri na mama dangote si Angempa mama dangote hela atume
Mwambieni apewe hela na Peter wa P square si anamla?Kajamaa kaongo haka usikute hakajawah kutuma hata 100