Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sio sparletasticNovidastic
Pepsistic [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sio sparletastic
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pepsistic [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa sasa yupo na Aaaliyah...
Ni sawa tu, tumeumbiwa sisi...Anawapanga tu watoto wa kike. Kweli pesa sio mchezo.
Jamaa anagombaniwa kama mpira wa kona
Unataka umalize uzee vibaya😀😀 kudate na vitoto pasua kichwaZuhura ni mali ya Bujibuji Simba Nyamaume
Vinasaidia kuongeza hamasa na ubunifuUnataka umalize uzee vibaya😀😀 kudate na vitoto pasua kichwa
Hilo jicho za zuchu itakua alimuelewa sana mwambakaka na dada huwa wananyweshana lita za mate?
Kaongee naye vizuri akuoe wewe.Wasiwaleteeni uhuni. Huyu almasi hajagonga hiyo ngoma? Mtu anazaa tu haoi nani anaweza kumuamini[emoji41]
Kaka una maana gani ?Watu wengi wanaofatilia habari za hawa ni wale jobless damu.
Hilo jicho za zuchu itakua alimuelewa sana mwamba
We huoni kama ni kaka na dada kweli..kaka na dada huwa wananyweshana lita za mate?