sweetapple
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 533
- 461
Zari hakuwai olewa Na Baba watoto wa kwanza..ulizaga..Ndo Maana alipoulizwa VP TALAKA ya Ivan akasema hawana cheti chochote walikuwa wanaishi tu kawaida..Sasa TALAKA ya nini..Wametengana kama walivyokutana kisela.Zari Kiboko yetuuuuu.Mi sitii neno ....... zaa tu kwa raha zako after all una financial support ya mumeo wa ndoa