Diamond asema Zari atajifungua mwezi Disemba

Diamond asema Zari atajifungua mwezi Disemba

Mi sitii neno ....... zaa tu kwa raha zako after all una financial support ya mumeo wa ndoa
Zari hakuwai olewa Na Baba watoto wa kwanza..ulizaga..Ndo Maana alipoulizwa VP TALAKA ya Ivan akasema hawana cheti chochote walikuwa wanaishi tu kawaida..Sasa TALAKA ya nini..Wametengana kama walivyokutana kisela.Zari Kiboko yetuuuuu.
 
Zari hakuwai olewa Na Baba watoto wa kwanza..ulizaga..Ndo Maana alipoulizwa VP TALAKA ya Ivan akasema hawana cheti chochote walikuwa wanaishi tu kawaida..Sasa TALAKA ya nini..Wametengana kama walivyokutana kisela.Zari Kiboko yetuuuuu.
Walifinga ndoa ya kimila
 
Awe makini huenda Zari ana ajenda binafsi, angalia sana ndogo wangu inaweza kula kwako
 
Mungu awawe na mama na mimba yake.

Zari alishaandikaga kuwa ni summer baby...kwa SA ndio summer...

Boi
 
Sasa yule wa kike alisema tusimle sana na huyu wa kiume akija asile sana ale Kidogo tu
 
Hongera zao.....hayo mengine watajiju wenyewe......
 
Great, mwanamke safi kwanini usimbebeshe kidude? Piga hata kumi babuuu! Yani mzee una cheneli za pesa na vitega uchumi kibao mjini kwanini usiongeze furaha kupitia watoto? Mfyatulishe Le Kids wakutosha tu.
Cha kufanya ni kuwaandalia maisha tu kila mtu umjengee nyumba yake wakikua wasipate shida hapa town wawe na pa kuanzia!
 
Watoto ni baraka kutoka kwa Mungu, kama una uwezo wa kuwatunza na mama hana tatizo la kubeba mimba na yuko tayari kubeba mimba nyingine at least mbili au hata tatu basi hakuna ubaya wa kuongeza wengine wawili/watatu.
biblia inasema watoto wa ujanani ni sawa na mishale wakati wa uzee wako,azidi kumjaza mama tiffa nyingine na nyingine na nyingine tena baada ya hiyo
 
Tena bahati yao me ningekuwa nimejipanga vizuri kifedha nadhani watoto 9 wangenitosheA ni dhiki tu hii unaogopa kuwafyatua
 
!
!
Mkali wa Kidogo... Bahati mbaya imetoka mda mbaya sana hiyo ngoma. Kuna kitu kinaitwa TOO MUCH BY DARASA, Yanani mchizi kafunika wooote kibongobongo kwa sasa. Hata hao psquire na mondi wao kawakimbiza too much.
 
1470673404272.jpg
 
Back
Top Bottom