Diamond ashinda tuzo za AELA awards 2016 nchini Nigeria

MO11

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
19,057
Reaction score
39,387
Kijana wa kununua viewers timu ujanja ujanja amenunua na kupewa tuzo ya best collaboration of the year.

Nyimbo yake ya ujanja ujanja aliowashirikisha wajanja wajanja P square inayoitwa KIDOGO.

Waandaaji wa tuzo wamesema hawataki matusi kwa wasanii walioshindwa kwenda kwa wasanii walioshinda.

Pia wameenda mbali na kusema hawataki wasanii wa muziki mzuri maana unapendwa sana.

WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA
 
Tuzo za AELA zilitolewa jana nchini Nigeria huko

Mtanzania Diamond platnumz akishinda Tuzo ya Best collabo kupitia wimbo wake wa kidogo aliowashirikisha Psquare.


Diomond amewashinda
Tiwa savage ft wizkid -- bad
Flaviour ft selebobo --- mgeme mgeme
Yemi alade ft sauti sol --- africa
Patoranking ft sarkodie --- no kissing .

Huku Korede bello akishinda tuzo ya best music video kupitia wimbo wake wa Romantic
Hongera sana diamond
 
Naona wanaigeria wanashindana kutafuta kiki kupitia mashabiki wa diamond na kuba kwa kuanzisha tuzo kila kukicha.

Hongera yake
 
hahahahahaha ujanja ujanja
 
MOND aliwauliza swali moja la msingi sana,kama wewe muziki wako mzuri kuzidi mimi vipi Mapromota hawakuoni wakupe shoo,hadi upate zile za Mombasa tena kwa hisani ya jamaa yako ........ Hongera MOND kwa tuzo.
 
Si ndio huu wimbo waliuponda sana humu ndani!

Leo kama vipi [HASHTAG]#Wakanywe[/HASHTAG] maji
 
Ali lazima atajwe ALI UTAWAUAAAAA
Ali kiba tunamzungumzia kwa kwa sabab ya uwepo wa diamond
Jamani DIAMOND si alisema hawez kusainiwa au yalikuwa mawivu?

Ali kiba akauze nguo kariakoo, hata huyo darasa mziki wake mzuri, ila haufiki hata chalinze
 
Ali lazima atajwe ALI UTAWAUAAAAA
Jamani DIAMOND si alisema hawez kusainiwa au yalikuwa mawivu?
Lebo yake ndio imeingia mkataba na universal music! ila yeye hajasainiwa tofauti na wale wa sonny ambao wanampangia msanii muda wa kutoa ngoma!
 
Lebo yake ndio imeingia mkataba na universal music! ila yeye hajasainiwa yofauti na wale wa sonny ambao wanampangia msanii muda wa kutoa ngoma!
Huyo jamas hata aelewi anachokiongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…