Mkuu, bado nina ndoto yakuorganize wanajf wapande kama kikundi ili kupunguza cost za mlima.Sifa ni zipi zakupanda huo mlima,na ni gharama kiasi gani?
Watu wa wizara ya utalii waweke mambo wazi.
Uhuru peak nimeenda mara kadhaaWewe umepanda mlima upi, tuanzie hapo kabla ya sijacomment.
Good idea.Mkuu, bado nina ndoto yakuorganize wanajf wapande kama kikundi ili kupunguza cost za mlima.
Ukisema upande mwenyewe ni gharama kubwa kidogo. Sio chini ya 800k hadi 1m
Ila mkipanda watu kama kumi kwa kushare gharama haizidi 300k. Hapo ni kila kitu.
Ni kujipanga tu.
I believe this is very possible!!
Kuna Watanzania wengi wana nia, ishu ni organization tu...
Challenge ni namna nzuri ya kuchanga tu na kuitangaza kweli kweli...Good idea.
Organization ifanyike tafadhari.Challenge ni namna nzuri ya kuchanga tu na kuitangaza kweli kweli...
Tukianza hata na Watu 20 tu!!
Itasound very perfect
At Gilmans point kuna upepo unavumia kwenye mabarafu yale utadhani kuna maji yanatiririka mtoni,mlima una mambo ya ajabu na hatari sana ule.Si'vyepesi kufikia kilele chake,yahitaji ujasiri na uwezo.Mkuu mie nilishaenda kule tena kwa njia ngumu ya machame, lakini sikujikana, ila niwe mkweli tu kuna siku nililia, nikajuta na kujiuliza nini kimenipeleka kule
Mike Mushi delayed me last last year.Organization ifanyike tafadhari.
Ukipitia Machame route na route nyingine kama Lemosho, Umbwe.... Haupiti Gilmans point.At Gilmans point kuna upepo unavumia kwenye mabarafu yale utadhani kuna maji yanatiririka mtoni,mlima una mambo ya ajabu na hatari sana ule.Si'vyepesi kufikia kilele chake,yahitaji ujasiri na uwezo.
Mazoezi si'tu kwamba ni muhimu bali ni lazma hasa ya pumzi zaidi na misuli kidogo sana....afanyaye mazoezi ya pumzi ana nafasi kubwa sana ya kufuka kilele cha Mt Kilimanjaro maana mlima ule una mabadiliko makubwa ya climatic conditions mfano tropical savanna/equatorial/desert na ufinyu wa hewa safi kwa pumzi hasa pale juu kileleni Uhuru peak jua lianzapo kuchomoza alfajiri.Mkuu kama unauzoefu mazoezi sio muhimu sana.
Ila kama ni mara ya kwanza mazoezi ni muhimu sana...
Yes!!Mazoezi si'tu kwamba ni muhimu bali ni lazma hasa ya pumzi zaidi na misuli kidogo sana....afanyaye mazoezi ya pumzi ana nafasi kubwa sana ya kufuka kilele cha Mt Kilimanjaro maana mlima ule una mabadiliko makubwa ya climatic conditions mfano tropical savanna/equatorial/desert na ufinyu wa hewa safi kwa pumzi hasa pale juu kileleni Uhuru peak jua lianzapo kuchomoza alfajiri.
Ukipitia Machame route na route nyingine kama Lemosho, Umbwe.... Haupiti Gilmans point.
Only two routes will take you to Gilman point.
Rongai Route and Marangu route.
Route nyingine unaibukia Stella Point.
Mkuu ikibidi andaa mwezi wa 12 tujoin tuje tupande haiwezekani nimezaliwa karibu na huu mlima alafu sjawahi kuupanda ni aibu sasa.Wakuu, binafsi nilifuhia sana, Waziri Hamis alivyohamasisha wasanii wengi kupanda Mlima Kilimanjaro kwa Mara moja, kwa kauli mbiu Twende Zetu Kileleni...
Safari ilianza Jana Jumamosi Tarehe 28/09/2019, Ilikuwa ya siku sita.
Lakini Diamond, Steve Nyerere na Dogo Janja wamerudi leo Jumapili baada ya kuchoka sana... Walifika kituo cha kwanza Mandara wakarudia mbele kidogo ya Mandara.
Changamoto kubwa ni kupanda Mlima kwa mhemko, na pia nilishasema tena hapa kwenda gym kila siku hakukupi uwezo wa kupanda mlima Kilimanjaro. Na pia jamaa walionekana wakienda kwa kasi sana, Kosa kubwa... Kilimanjaro ni Polepole.
Bado nina wazo la kupanda Mlima Kilimanjaro na WanaJF walioko committed.
Na wote tutatoboa...
Wasanii waliobakia, wajitahidi sana ili watoboe.
Labda anakibamiaSteve na majisifu yake hayo bado ameshindwa kupanda mlima!?
Sijui hata kama huwa anafika kileleni kinenaniAfya mgogoro hawezi ni bora ameacha. Ni vyema kuusikiliza mwili wako usiendeshwe na sifa na kutaka kuonekana ukaishia ICU