Diamond ashindwa kupanda Mlima Kilimanjaro, Steve Nyerere azitapika Tsh. Milioni 2

Diamond ashindwa kupanda Mlima Kilimanjaro, Steve Nyerere azitapika Tsh. Milioni 2

Ukipitia Machame route na route nyingine kama Lemosho, Umbwe.... Haupiti Gilmans point.
Only two routes will take you to Gilman point.
Rongai Route and Marangu route.
Route nyingine unaibukia Stella Point.
I remember Stella Point, jamani ile safari.......
Hali ya hewa nayo huko juu ni kimeo, mtu hata hujielewi unataka nini
 
Kuna jumla ya vituo vingapi hadi kufika kilele cha mlima, na je ni siku ngapi zinatumika katika kupanda, halafu kuna tofauti gani kati ya Mawenzi na Kibo.
Kama sijakosea machame route ina vituo vitano.....
Machame hurt, shira, Baranco, karanga kitu cha mwisho ni barafu, from there mnaanza kwenda kileleni katikati wakati wa kwenda kileleni kuna kituo kinaitwa stella point, sisi tulitumia siku tano kupanda, siku moja kushuka jumla siku 6....kila la heri mkuu! Tofauti ya kibo na mawezi sijui mkuu, kiwatengu atakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi kukuelezea hili
 
DIAMOND MHUNI..NI RATIBA YAKE IKO BUSY.HAKUWA TAYARI KU SPEND 7 DAYS MLIMANI. THATS WHY JION HIYO HIYO ALIYOTIK MLIMAN AKAKENDA KUKESHA KWA HARUSI YA RAFIKI AKE.
 
Shikamoo njia ya machame....
shikamoo Baranco....palinifanya nikalia, mweee!
Uliogopa tu ram, Machame route ni tamu sana.
Ulichoka baranco kwasababu hukwenda lava tower ama??
 
I remember Stella Point, jamani ile safari.......
Hali ya hewa nayo huko juu ni kimeo, mtu hata hujielewi unataka nini
[emoji3][emoji3] ulipata hofu tu.
Usiogope tena!!
 
Mkuu ikibidi andaa mwezi wa 12 tujoin tuje tupande haiwezekani nimezaliwa karibu na huu mlima alafu sjawahi kuupanda ni aibu sasa.
December ina changamoto kidogo...
Maybe early June!!
 
Domo Angeambiwa kule kileleni kuna mademu wa bure asingeishia njiani mzee wa seleleko.
 
Hongera sana Lady Jaydee
FB_IMG_1570208992402.jpeg
 
Hivi ukiwa unapanda Huko mlimani unaenda na simu au simu huruhusiwi ? Na kama simu zinaruhusiwa je, ikikata charge unacharge wapi ? Na kama hairuhusiwi , inawezekanaje mtu usiwasiliane na ndugu zako kwa muda wote huo mpaka utakaporudi toka kileleni ? Na hata kama zinaruhusiwa na pakucharge papoo , je network vipi zinashika ?

Kwa wenye mauzoefu ya kupanda huko tupeane info maana najipanga panga nami nikajaribu , so kuna haja yakuanza kujiandaa kisaikorojia ya kutokumia simu na kutokuingia JF kwa wiki na ushee
 
Hivi ukiwa unapanda Huko mlimani unaenda na simu au simu huruhusiwi ? Na kama simu zinaruhusiwa je, ikikata charge unacharge wapi ? Na kama hairuhusiwi , inawezekanaje mtu usiwasiliane na ndugu zako kwa muda wote huo mpaka utakaporudi toka kileleni ? Na hata kama zinaruhusiwa na pakucharge papoo , je network vipi zinashika ?

Kwa wenye mauzoefu ya kupanda huko tupeane info maana najipanga panga nami nikajaribu , so kuna haja yakuanza kujiandaa kisaikorojia ya kutokumia simu na kutokuingia JF kwa wiki na ushee
Mkuu naomba nikujibu kwa kadri niwezavyo.

1. Kuhusu kwenda na simu•
Simu zinaruhusiwa kabisa hakuna mtu atakayeshughulika na kukukagua simu au camera(isiwe yakibiashara)...
Vitu visivyoruhusiwa ni kama vile sigara, bangi na vitu vyote vya makopo kopo mf. Zile chupa za maji ya Kilimanjaro na mifuko ya plastic haviruhusiwi ili kuweka mazingira safi.

2.Simu zikiisha chaji inakuwaje?
Hapa lazima ujipange kidogo either uwe na powerbank na simu yako iwe na uwezo wa kutunza chaji, kuhusu kuchaji unaweza kuchaji! Kwenye vituo vya wale macare taker wanahuduma ya kuchaji na inaweza kukugharimu hadi Tsh 2,000/=
Kutokana na baridi chaji huwa inaisha haraka sana.

Mfano simu au camera ikiwa full charge 100% na usipoiweka vizuri itaisha tu hata kama usipoitumia. Kama unataka kuselfika ukiwa Uhuru peak, wewe mpe hicho kifaa guide wako au atakuelekeza namna yakuhifadhi ili ukiwa juu kiwe na uhai.


Kuhusu network kuna maeneo yana network mkuu tena nzuri tu. So unaweza kuwasiliana na ndugu zako vizuri.
Kwa route ya Marangu, network iko poa pale Horombo. Kwa machame, Baranco pana network nzuri...

Karibu sana mkuu, Mlima Kilimanjaro ni mzuri sana.
Kama unaswali usisite kuendelee kuuliza.
 
Mkuu naomba nikujibu kwa kadri niwezavyo.

1. Kuhusu kwenda na simu•
Simu zinaruhusiwa kabisa hakuna mtu atakayeshughulika na kukukagua simu au camera(isiwe yakibiashara)...
Vitu visivyoruhusiwa ni kama vile sigara, bangi na vitu vyote vya makopo kopo mf. Zile chupa za maji ya Kilimanjaro na mifuko ya plastic haviruhusiwi ili kuweka mazingira safi.

2.Simu zikiisha chaji inakuwaje?
Hapa lazima ujipange kidogo either uwe na powerbank na simu yako iwe na uwezo wa kutunza chaji, kuhusu kuchaji unaweza kuchaji! Kwenye vituo vya wale macare taker wanahuduma ya kuchaji na inaweza kukugharimu hadi Tsh 2,000/=
Kutokana na baridi chaji huwa inaisha haraka sana.

Mfano simu au camera ikiwa full charge 100% na usipoiweka vizuri itaisha tu hata kama usipoitumia. Kama unataka kuselfika ukiwa Uhuru peak, wewe mpe hicho kifaa guide wako au atakuelekeza namna yakuhifadhi ili ukiwa juu kiwe na uhai.


Kuhusu network kuna maeneo yana network mkuu tena nzuri tu. So unaweza kuwasiliana na ndugu zako vizuri.
Kwa route ya Marangu, network iko poa pale Horombo. Kwa machame, Baranco pana network nzuri...

Karibu sana mkuu, Mlima Kilimanjaro ni mzuri sana.
Kama unaswali usisite kuendelee kuuliza.

Kongole kwa Ufafanuzi Mzuri Comred, umeeleweka vizuri.
 
Back
Top Bottom