Basi kama hivyo amiliki online radio na sio hizi za kawaida ...mimi nina marafiki wana radio wengi wanataka kufunga ,haziwalipi ...especially na hizi faini za TCRA ikitokea bahati mbaya tu umetoa content ambayo hawaitaki wanapiga faini hadi milioni 100 ambao ni mtaji wa radio ...huku ni kuuwa njaa waandishi na wamiliki
Hata kuandika hujui... Alafu unatoa investment advice kwa waliokuacha kiuchumi.... Mweeeeeehhh yebabaaaaVery wrong investment. Tv kwa sasa hazina ela. I have been katika hii soko for 8 years. No money kwa sasa, labda after 2025