Diamond atangaza ujio wa Wasafi FM na Wasafi TV

Diamond atangaza ujio wa Wasafi FM na Wasafi TV

hata online ataanzisha pia.. yeye ameamua kuanzia za on air.... dogo nachomsifu ana vision na anatoa ajira kwa wenzake... hivi bila diamond kina iyobo, kifesi, lizer mwarabu fighter na wengine kibao wangekuwa wapi?


Basi kama hivyo amiliki online radio na sio hizi za kawaida ...mimi nina marafiki wana radio wengi wanataka kufunga ,haziwalipi ...especially na hizi faini za TCRA ikitokea bahati mbaya tu umetoa content ambayo hawaitaki wanapiga faini hadi milioni 100 ambao ni mtaji wa radio ...huku ni kuuwa njaa waandishi na wamiliki
 
huyo atafungua online radio na tv kama millard ayo. sio ile ya kurusha frequency kabisa.
 
Anajimaliza, huwezi fanya kila kitu mwenyewe ufanisi lazima upungue
angeacha wengine wamtangaze I can smell a downfall.
 
Msanii Diamond Platnumz amekabidhiwa rasmi Certificate ya usajili wa Wasafi TV[emoji342] huko zenji...sasa kuanza kurusha matangazo yake kuanzia kesho...Hongera sana Diamond na timu nzima ya WCB
Screenshot_20180226-165708.png
 
Back
Top Bottom