Acha majungu mtoto wa kiume... mtoto nifah ndo anazimika na hizo sounds... ngoja nikupe darsa; unapotaka totoz TBS kama nifah ni lazima kwanza ufanye research kuhusu yeye... nilipofanya ya kwangu nikagundua mtoto hajiwezi kwa Le Billionaire Le Mutuz... hapo nikajua mtoto Ifa anazimika na old school...kumbe ulitarajia nini zaidi ya mimi kudondoka ki-old school; na mtoto ndo huyo... si ajabu ananiota hivi sasa!Unatongoza kizamani!!! Huyo demu akitoka kaoge maji ya bahari pale Salander bridge.
By the way me nimekuta njiani maandishi, na huu muda na wikend hii.....mhhh
Unatarajia yatoke wapi my princess? Na haya hayapo kwa ajili ya mwingine bali ni kwa ajili yako peke yako na yanatoka ndani kabisa ya moyo wangu kati kati ya kiini kinachotiririsha chem chem ya huba ambayo haijapata kunajisiwa hapo kabla... hiyo ni maalum kwako na kwako na peke yako... niite "mpenzi" basi!Mhhhhh!!!Hivi haya maneno unayapataga wapi Nas???
Honestly nimebaki kinywa wazi sijayaamini macho yangu hiki ninachokisoma....anyawys...uko vizuri kiukweli hakuna mwanamke ambaye hatopenda kuyasikia maneno haya.....
Two hours, jumped from 700 to 850... 150 followers within two hours...Kila siku huwa nakataa kwamba Diamond husafiria nyota za mademu ila naamini ukijihusisha na Diamond kwa namna moja au nyingine lazima publicity yako ita-shoot! Mifano ninayo mingi lakini kwa makusudi nikaamua kuangalia Zari atapata followers wangapi within 24 hours baada ya kupiga picha na Diamond... anyway, hadi sasa nimebakiwa saa 9 kutimiza hizo 24 hours lakini tayari Zari ndani ya huo muda amepata followers karibu 700, yaani within 15 hours... huyo ndo Chibu bhana!
Ngachoka..... akili na mwili
Hata nguvu za kwenda zoezi zimeisha.. ngoja niendelee kulala tu
Hahahaaa hadi nimechekaaaa....kule zikienda totoz za ukweli wanazikimbiza na maneno ya shombo...kisa cha kufa mapema nini kwa mistress? Bora hao ulowataja wameyapitia mengi maneno matupu hayawashtui...
Halafu naona mutoto ya ukweli masai dada iko likiso....yule nae ndo anaweza sterss za kule.....
Kule kunahitaji roho ngumu maana kule watu hawarembi.
Sie wengine tushazoea ndo maana tunaamua kuwatisha kwa hayo ma-signature kwamba ukinizingua, nakuzingua!!! Sema nikiwaga busy lile jukwa silitaki coz' ukichokoza moto jiandae kujibu posts siku mzima na zaidi...utamu zaidi watu wanataka majibu yenye evidence au hoja ya nguvu!!!Hahahaa me naendaga kwa kuvizia...lile jukwaa kiboko...manake ukimtetea mtu unaweza kuambiwa ni hawara yako. Halafu ban zinagawiwa kama njugu...
this is only best platform for her kuonesha yeye ni mahiri wa kubinuwa mdomo lakini ukikutana live na watu wa hivi utachoka na utashangaa sana.
Huo sasa uvivu.....haya amkaaa utengeneze popcorn, movie ndo inaanza....
Huyo Dinazarde leo akiamka lazima mtafute mbeleko ya kumbebea... mtamkomaje... huku Dinazarde, kule Kim nana ... pale Paula kilaki ... kule Heaven on Earth akichombeza... dah, nahisi kama pressure ya princess nifah leo ita-shoot kwa kiwango cha kuogfya!!
Kila siku huwa nakataa kwamba Diamond husafiria nyota za mademu ila naamini ukijihusisha na Diamond kwa namna moja au nyingine lazima publicity yako ita-shoot! Mifano ninayo mingi lakini kwa makusudi nikaamua kuangalia Zari atapata followers wangapi within 24 hours baada ya kupiga picha na Diamond... anyway, hadi sasa nimebakiwa saa 9 kutimiza hizo 24 hours lakini tayari Zari ndani ya huo muda amepata followers karibu 700, yaani within 15 hours... huyo ndo Chibu bhana!
The number jumped from 850 to 1474 ikiwa ni ongezeko la Followers 624 within the past two hours... hili ni mara nne ya ongezeko la Followers 150 ambao walim-follow Zari the preceding two hours.Two hours, jumped from 700 to 850... 150 followers within two hours...