Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

NasDaz hivi ulisema mond na zari ni kama mbingu na ardhi, ulitumia kigezo kipi eti???
Kwa kigezo cha mkwanja Chibu na Zari ni kama mbingu na ardhi lakini nilishasema katika mapenzi hakuna kinachoshindikana coz' no fixed terms, vigezo na masharti hubadilika mara zote kulingana na wakati na hapo ndipo unakuta mkata majani ya ng'ombe anamega mzigo wa bosi!!
 

hapo sasa nimekuelewa maanake niliyoyaona huko IG yamenitetemesha
 
The number jumped from 850 to 1474 ikiwa ni ongezeko la Followers 624 within the past two hours... hili ni mara nne ya ongezeko la Followers 150 ambao walim-follow Zari the preceding two hours.

zari kapata kick via mond, this is shockin
 
Hata ile walisemaga movie ngoja tuone mwisho wake.
 
jamani mi ndio naamka, nahitaji muda wa kula huu ubuyu, chai haipiti, nikimeza mate yanakwama uuwiiii mond u are givin to much than what we want. khaaaah!!!
 
Yuko vizuri kwa kuwagonga kaona mademu wa tz kashawapanda vya kutosha sasa ameamuwa acheze mechi za ugenini
 
Ebana watu mnawaza mbali! Hii ni kweli yawezekana ikawa new video! Hiyo ni kiki! Haaaaah diamond umetisha
 
Kuna new video kutoka kwa diamond platnumz anakaribia kuitoa ameshoot kama ckosei SA yuko na wazungu wanacheza pia yuko na gari moja matata old skul kama ya malkia wa zamani. Kijana anajua marketing ya kaz zake.
Big up to him success will never stop to follow him
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…