Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
huyo dada hana njaa ya vixen ana uwezo wa kuwalisha domo na wema na koo zao hadi uchaguzi wa 2020 hapo bosslady kanasa ulimboni
hana njaa kabisa.......dada yupo kileleni mbaya........hebu tusubiri tuone.......maana hapa hata Wema atakunja mkiyaaaaaaa...........Zari ni shiderrrr........

