Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

huyo dada hana njaa ya vixen ana uwezo wa kuwalisha domo na wema na koo zao hadi uchaguzi wa 2020 hapo bosslady kanasa ulimboni

hana njaa kabisa.......dada yupo kileleni mbaya........hebu tusubiri tuone.......maana hapa hata Wema atakunja mkiyaaaaaaa...........Zari ni shiderrrr........
 
Thank you Diamond for this project
Africa get ready. Caption
Hapa kuna jambo moja... inawezekana kwamba ni project au ndo vile tena manake hata project ya Wema na Diamond waliyofanya China ilikuwa hivi hivi... bado haijatoka na haitatoka! Lakini hata kama ni project, huyo Zari kaamua kuwakomoa wambeya... we project gani hata production crews haionekani??!!! Watu wanapenda kutiana bp aisee... dah!
 
Just FYI: Ukinizingua, nakuzingua... ukinipa za tumbo nakupa za chembe, otherwise, Peace and Love!
Hiyo ni kwa wale ambao utakuta wanaibuka from nowhere na kuanza kukushambulia bila sababu only because unaamini kinyume na vile anavyoamini yeye... ukisema tofauti na anachotaka yeye kusikia basi inageuka nongwa... kwahiyo no way out, ukinizungua nakuzingua....
 
Kwakuwa Nina mapenzi na Wema point yoyote nitakayoweka kuhusu dai hata iwe ya maana vipi itaonekana si kitu. Ila dai angekuwa kaka au Mdogo wako alafu aparamie huu mlima wa madume ya miaka 16 lazima mngemuonea japo huruma. Ila wanadai ni shooting ya wimbo wa ananijia ndotoni.

Naona kuna watu wanajitahidi kuniquote ila sitowajibu kamwe...
 

Attachments

  • 1415520213818.jpg
    1415520213818.jpg
    42.4 KB · Views: 313
Awe makini UKIMWI upo pia. Hatutaki akifika kwenye peak ya muziki wake kimataifa ndio afya ianze kusumbua.
 
Umhhh hio project hata mi nmeipenda he he he he ... acha movie iendelee ... yaani washatufanya sisi watoto wadogo. .
 
Kwakuwa Nina mapenzi na Wema point yoyote nitakayoweka kuhusu dai hata iwe ya maana vipi itaonekana si kitu. Ila dai angekuwa kaka au Mdogo wako alafu aparamie huu mlima wa madume ya miaka 16 lazima mngemuonea japo huruma. Ila wanadai ni shooting ya wimbo wa ananijia ndotoni.

Naona kuna watu wanajitahidi kuniquote ila sitowajibu kamwe...
Usi-mind bhana labda kama mtu anaku-attack, hapo huwezi kulemba au kujifanyisha Mother Theresa... Mtu akikuzingua, unamzingua...!

Back to haya mambo ya projects... uzoefu unaonesha projects za Diamond tunaishia kusikia tu kwamba mara shooting, mara movie lakini huwa hatuzioni zikitoka!!! Hebu nisaidie, hivi ile "movie" ya Wema na Chibu ambayo waliifanyaga China kipindi kile wamebwagana, hivi ilishatoka kweli ile?? Manake it's almost two years now!!
 
Hapa kuna jambo moja... inawezekana kwamba ni project au ndo vile tena manake hata project ya Wema na Diamond waliyofanya China ilikuwa hivi hivi... bado haijatoka na haitatoka! Lakini hata kama ni project, huyo Zari kaamua kuwakomoa wambeya... we project gani hata production crews haionekani??!!! Watu wanapenda kutiana bp aisee... dah!

Production crew ya nini... hiyo nyingine yaonesha kama wako studio vile....

All in all ngoja tuendelee kungoja kuona hiyo ni project gani???
 
Sasa kama ni Team Wema si ndo hao hao walikuwa wanahubiri "Bring Back Our Wema...!" Sasa Wema kawa released wanaanza matusi tena? Au ndo yale mambo ya kisebu sebu na kiroho papo? Au ndo yale unampiga chini boyfriend wako lakini ukimkuta na mtoto mwingine viwango vya juu kuliko wewe unaanza kuumia!!!

Afu huyu Zari kaamua makusudi kuwarusha watu roho... inaelekea kamwambia Chibu "we hiyo kazi niachie mimi" manake sidhani kama Chibu ame-post picha yoyote lakini ni Zari ndie anaye-post! Na kwa jinsi watu walivyo wehu, inawezekana walianza kutukana tangu jana lakini ndo kwanza akaamua kuweka photos zilizo kwenye mkao wa mahaba...

Hahaaaa ila mie nampenda Wema kwa hiyo zile picha duh nilijisikia vibaya kweli....
Kumpenda Wema hakunifanyi nianze kutukana watu kama wale wa kule Instagram.

Sa kuna mmoja wameanza kumtukana anaitwa dalalimwanamke.. anapata matusi ya ajabu huko balaa. Kisa alikua anasema bora Domo awe na Zari sio Wema
 
Wabongo bongo bwana bado picha inawatoaga fahamu! Sijui ni washamba wa picha! Hivi mastar wangeanza kuact movie za porno! Haya someni vizuri muache cheap rumours ImageUploadedByJamiiForums1415523716.763004.jpgImageUploadedByJamiiForums1415523778.919606.jpg
 
Back
Top Bottom