lakini jamani mbebs mkaree balaa.juu ya kuzaa watoto wake 3, analipa ile mbaya.sura mashallah,na figure anayo.hela anazo,hategemei kuhongwa
Kwani hela katoa wapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lakini jamani mbebs mkaree balaa.juu ya kuzaa watoto wake 3, analipa ile mbaya.sura mashallah,na figure anayo.hela anazo,hategemei kuhongwa
Huyu mwanaume anaweza akakutoa roho,Wema usirudi tena
umesahau Penny alivyoachwa?wolper,jocate,hamisa sijui menina,mwe kazi ipo,kama Wema kapata mwingine basi Diamond kasababishaWema asitoke roho bana kwani anae Dai tu banaaa
Umhhh hio project hata mi nmeipenda he he he he ... acha movie iendelee ... yaani washatufanya sisi watoto wadogo. .
mmmnnh
![]()
Kwani
Huyo Mwanamke ana nini kinachomfanya wafikirie domoondi hawezi mchapa
nao? Amegongewa ngozi zuma na mlinzi ndio itakuja kuwa zari?
Mkuu jina lako ukiligeuza linasomeka long penis
Mnh... kazi ipo!
Hahahahaaaaaaa jamani...ulikua unawaza nini?
Jamaniii eeeeeeeeee mi nilisema mkanibishia, Wanaume wengi wanamtoleaga macho zari na hana habari nao, ,,,tende imeanguka jangwaniii
Yaan Dai kama unanisikiaaa oa huyo zarii mitwangio inatofautiana bana wako unaweza mdatishaaa herooooo heroooooo uwiiiiiiiiiiiii
Iwe video isiwee,mlisema zari kaja kumuona Sinta kumbe pia alikua amekuja na kwa Dai pia
Ina maana Dai alikosa wa kushoot nae mpaka zari hapo ndo mjue kuna chi chiiiiiii chiiiiiuii
Sio new video kweli hii
Usiwasanue vichwa panzi
Kuna new video kutoka kwa diamond platnumz anakaribia kuitoa ameshoot kama ckosei SA yuko na wazungu wanacheza pia yuko na gari moja matata old skul kama ya malkia wa zamani. Kijana anajua marketing ya kaz zake.
Big up to him success will never stop to follow him
Hahahaha nilikua nawaza tu
Yuko vizuri kwa kuwagonga kaona mademu wa tz kashawapanda vya kutosha sasa ameamuwa acheze mechi za ugenini
Hata kwa wema alikuta makombo na bado anayala makombo,zari bado sio bibi kabisaa ukimpanga na Wema, zari mzuri na bomba ile mbaya na hapo ana watoto kama hana vileee
Na zari hazidi miaka 35 upooo acha Dai nae aonje tu kuna watu walibishi aibu yaoo habari ndio hiyoo hata wema alipokua na dai china walisema wanatoa movie iko wapi mpaka leo, hata hiyo video watoe lakini ukweli ni kua zari kaliwaaaaaa