Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima


Toka daimond Alivojipumzisha kwa Kidoti kuaanzia hapo nikasema kumbe wanawake wote ni grade moja tuu so hakuna kinachoshindikana mkuu
 

Zari mwenyewe ndo aliposti kwanza
 

wanachapika tu we ndo huwez jua kucheza na maneno
 
Ampate wapi, hashuo tuu, mbona amekaa Kama passenger mwenzie tuu wame Piga picha sioni cha ajabu mie hapo...
 
Huu uandishi huu? hivi mleta mada anajua nini maana ya kutanua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…