Hapo kusema tangu January ndio wameniacha hoi kabisa...hawa jamaa ni waongo sana..
Umeona post ya jana ya Diamond instagram ile yenye karatasi, na kale ka caption?
Huyu dogo mwisho
Haya nyie mnaoshupalia janga hili na mengine hadi kuja kutukana maana imewauma sana tena sana watoto kutekelezwa mkashindwa hata changishana na mnachohesabu kila senti kununua mkate wakaendelea kusoma si msaada au?
Eti nyie mliokulia sijui ushuani sijui mkoje tena mnapesa mnamdharau mtoto Tandale halafu munamdai atoe msaada mnalilia, kwanini hamjarukia nyie waushuani, wenye pesa mkawakomboa? Si mnawaonea huruma na mnazo nyingi hadi tabia nzuri ndio maana mnatukana na kuandika ----- usio na kichwa wala miguu na mnapongezana kila sekunde kumbe mnapaishana kiupupu.
Haya mtafuteni oo watoto wa ushuani mnamlilia fees mtoto aliekulia Tandale. Ooo nyie ndio hamvunji hamri za Mungu oooh wasafi sana
Mtafuteni wenyewe basi mumudai contacts hizo juu
Hutojibiwa zaidi ya kuona mashauzi na magazeti marefu marefu kama nyaraka za serikali.
Yani ushuzi mtuuupu.
Ukisifia ndo mzuri ukiwa against kimawazo ni hater. Tatizo wana tatizo LA tu kufikiria negative issues kwa kila jambo. Wanapenda exgrations kwenye vitu vyake kumbe hayuko hivo.Ila wakiandika ndomo bilionare inakuwa habar ya kwel mxiuuuuu
Ahahahaaa wenyewe wana kamsemo kao ka kujiliwaza wanasema"Waswahili sana"wakati wenyewe dhoofulhali tu kama kina sie,Wanaigiza wana maisha safiiii kumbe wanaishi kwenye nyumba za kupanga tena chumba kimoja tu,sebule hiyohiyo,jiko hapohapo,dinning hapo hapo,store hiyohiyo,ahahaaaaa!choo cha public kila siku UTI haikauki!
Wakifika humu ndani kutwa kujifanya wasomi wenye nazo kumbe uharo tupu!endeleeni kujiliwaza lakini maana inawezekana inawasaidia kupunguza stress.
Sisi watoto wa kiswazi bado tunapambana na uswahili wetu!na dalili za kutoboa zinaonekana!!kutoka tandale mpaka london masikhara sasa!.go go goo CHIBU.
Hawa watoto wa matajiri waliosomea ughaibuni huwa wananifurahisha ile mbaya!!! Kila wakati hawana jipya... mara oh, uswahili... mara oh, watoto wa Tandale lakini cha ajabu wakiona threads za watoto wa uswahilini wasiosoma unakuta wao ndo wanaongoza kukimbilia kuja kuchangia!! Sasa mtoto wa kishua unashinda kutwa kwenye thread za watoto maskini wa uswahilini sasa sijui tofauti yao na sisi tunaoishi Tandika sijui ni ipi!!! FaizaFoxy ana msemo wake "hivi huko shule mlienda kusomea ujinga!"Ahahahaaa wenyewe wana kamsemo kao ka kujiliwaza wanasema"Waswahili sana"wakati wenyewe dhoofulhali tu kama kina sie,Wanaigiza wana maisha safiiii kumbe wanaishi kwenye nyumba za kupanga tena chumba kimoja tu,sebule hiyohiyo,jiko hapohapo,dinning hapo hapo,store hiyohiyo,ahahaaaaa!choo cha public kila siku UTI haikauki!
Wakifika humu ndani kutwa kujifanya wasomi wenye nazo kumbe uharo tupu!endeleeni kujiliwaza lakini maana inawezekana inawasaidia kupunguza stress.
Sisi watoto wa kiswazi bado tunapambana na uswahili wetu!na dalili za kutoboa zinaonekana!!kutoka tandale mpaka london masikhara sasa!.go go goo CHIBU.
Ahahahaaa wenyewe wana kamsemo kao ka kujiliwaza wanasema"Waswahili sana"wakati wenyewe dhoofulhali tu kama kina sie,Wanaigiza wana maisha safiiii kumbe wanaishi kwenye nyumba za kupanga tena chumba kimoja tu,sebule hiyohiyo,jiko hapohapo,dinning hapo hapo,store hiyohiyo,ahahaaaaa!choo cha public kila siku UTI haikauki!
Wakifika humu ndani kutwa kujifanya wasomi wenye nazo kumbe uharo tupu!endeleeni kujiliwaza lakini maana inawezekana inawasaidia kupunguza stress.
Sisi watoto wa kiswazi bado tunapambana na uswahili wetu!na dalili za kutoboa zinaonekana!!kutoka tandale mpaka london masikhara sasa!.go go goo CHIBU.
Yaani umenena mie nadansi
go go goo Chibu
Anatuma form ya kideo wanabadili maneno eti anaomba kuingizwa kwenye awards za mwaka huu.... Mbavu zangu mie
Wameenda shule hao, hadi PHD za kuhesabia majani wakikaa chini ya miti wanazo.
Hahaaaa magezeti zaidi ya desertations hafu pumba tu with nothing new zaidi ya vimesemo vya kiswahili Swahili.
Sijawahi kusoma primary wal secondary in Tz, you can imagine shule nilizosomea, sijawah kuvaa jezi zenu za mtomba nyoko primary school zile surual za blue na mashat meupe kama sanda za maiti, huyo boss wako hanipat kiekimu wala kimaisha
Hahaaaa magazeti zaidi ya desertations hafu pumba tu with nothing new zaidi ya vimesemo vya kiswahili Swahili.
London? Sasa kutembea tu ndo unajiona umeenda paradiso, na waliojenga uko wasemeje sasa? Nyie mnaenda uko kucheza vigodor wenzenu wanaenda kupumzika kwenye mahekalu yao uko london, unaongea nini wewe?
Hahahahaha, binamu yangu warumi katika ubora wako.Naona watu wanakuchukulia poa sana kisa umbea....uko vizuri.
Ahahaha binamu mi kila siku naongea kiswahili!!tena cha kiswazi hasaaaaaa!!hatuwezi kufanana nao ndio maana tunatafuta usiku na mchana!kinachonikera ni watu kuigiza wanazo wakati tia mchuzi pangu pangavuLondon? Sasa kutembea tu ndo unajiona umeenda paradiso, na waliojenga uko wasemeje sasa? Nyie mnaenda uko kucheza vigodor wenzenu wanaenda kupumzika kwenye mahekalu yao uko london, unaongea nini wewe?
Hahahahahahaaa uwiiiiiiii! Ningekua natumia website ningekupa Repp. Power kwa hii comment binamu.Nimecheka hadi machozi!
Na wewe nenda English Kozi bhana manake hicho Kiswahili unachaondika hadi mpwa wangu warumi anashindwa kukuelewa!Ahahaha binamu mi kila siku naongea kiswahili!!tena cha kiswazi hasaaaaaa!!hatuwezi kufanana nao ndio maana tunatafuta usiku na mchana!kinachonikera ni watu kuigiza wanazo wakati tia mchuzi pangu pangavu