Hahaaaaa uwiiii jamani leo mkorogo ni mbaya sana aisee mikononi kwenye magoti na kwenye kota huwa unagoma mana ngozi ngumu. Hafu unatakiwa ukiutumia usiwe una kaa juani ndo utapauka Mpaka ushangae.
Hahahahahaa Diva jamani leo nina raha haifai kusema...yaani basi tu.
Mkorogo wanapaka akina Vera Sidika bwana sio hawa kaukau wanaokaushwa na jua la bongo hii.
Aahahahh, mimi sipo kama wengi wanavyonifikiria, wachache tu ndo wananijua vzur mimi ni nani, nipo nchi gan, nafanya nn, Mtanzania au, ipo siku mtajua, mtashangaa sana yani
Hongera binamu kwa kitoboa!nisaidie mimi na Chige tutoboe basi
Njoo pm uku nikupe maujanja
Nina hakika huu ni uongo wa GPL kama kawaida yao...! Diamond hawezi fanya jambo hili.
Yaani umenena mie nadansi
go go goo Chibu
Anatuma form ya kideo wanabadili maneno eti anaomba kuingizwa kwenye awards za mwaka huu.... Mbavu zangu mie
Wameenda shule hao, hadi PHD za kuhesabia majani wakikaa chini ya miti wanazo.
Hahaaa huyu le bilionare kiboko aisee aombe Mungu mvua isinyeshe mfululizo maana ni shiider.
Mambi shost. Hiv mbona cku hizi ngololo cmuon na mama ake ka zamani, kipindi kile yuko na In my shuziii kila kona na mama ake mara happy deadday mara sjui zawadi ya mkoko! Lkn toka yuko na huyo international nguruba mama cjui kamdampo wapi@Diva beyonce
Mwenyewe sijamuona mda ila kuna kipindi mamake alikua anaumwa. Na huyu zari labda anakaba hadi penalti.
Itakuwa aisee... Na sidhani kama anaishi pale! Lkn mwenyewe c anasema amepona?
Ajabu naona mimi Billionaire chibu kushindwa kulipa ada!
Mambi shost. Hiv mbona cku hizi ngololo cmuon na mama ake ka zamani, kipindi kile yuko na In my shuziii kila kona na mama ake mara happy deadday mara sjui zawadi ya mkoko! Lkn toka yuko na huyo international nguruba mama cjui kamdampo wapi@Diva beyonce
Chezeiya limbwata la kiganda wewe!
Billionaire kwa Currency za nchi gani?
dimond hana hela ni sifa za kwenye media tu na hizo sifa zitamwaibisha sana tu wenye hela labda hao mameneja watatu hao ndio wanachukua hela za dadamond hao mameneja ni wanyonyaji balaa unaweza kuta ney wa mitego au rich mavoko wanamzidi hela dadamond
Mswahili siku zote ni mswahili ata aende, sufuria limepinda kama tako la masogange mxiuuu billionaire my foot