[emoji23] [emoji23] [emoji23]nimekuchoka diamond nyimbo zako nafuta kuanzia sasa na sitokuja kusikiliza tena
Mi najua we humchukii manake inategemea sana hiyo cku umeamkaje au kama umevuta bhangi au umepiga viroba!! Leo unaweza ukawa unamporomoshea mitusi tu bila sababu za msingi kiasi kwamba wasiokujua wakadhani upo Team Kiba lakini baada ya cku mbili ukikuta posts za Kiba utaanza kumponda Kiba na kesho unakuwa upande wa Dai! Yaani it's like unaumwa homa za vipindi--Mimi simchhukii D, ukitaka kujua thamani ya wasanii was Tz nenda nchi A watu, kuna siku nilikua nirpbi tumekaa na rafik zangu, ghafla wimbo was D ukapigwa, watu wakaanza kumsifia D hata mm nikajiona nipo juu coz ni mtz mwenzangu, hata magu nae, ukiwa nje ukiulizwa unatoka wap ukisema Tz utashangiliwa sana coz magu anajulikana itendaj wake was kaz, wanatuwakilisha vzur but haimaanishi tuabze kutetea hata ajifanya upuuzi
Sivuti bangi wala miraa, no vile sinaga ushabiki mavi kumshabikia mtu hata akikosaMi najua we humchukii manake inategemea sana hiyo cku umeamkaje au kama umevuta bhangi au umepiga viroba!! Leo unaweza ukawa unamporomoshea mitusi tu bila sababu za msingi kiasi kwamba wasiokujua wakadhani upo Team Kiba lakini baada ya cku mbili ukikuta posts za Kiba utaanza kumponda Kiba na kesho unakuwa upande wa Dai! Yaani it's like unaumwa homa za vipindi--
Hebu wadanganye wageni wa JF lakini sio mimi bhana!! Hivi kwako wewe Lady JD huwa anakosea?! Wewe sio kwamba sio shabiki maandazi bali ni Bwana Sherehe... unakoelekea mdundiko ndiko utakoenda wewe! Ukija Celebrities ukakuta mada ya kumponda Dai au Kiba; utaponda hapo na mitusi juu lakini bila sababu! Ukija baadae ukakuta mada ya kusifiwa; unabadili gia angani na ndio maana nikakuambia as if una homa za vipindiSivuti bangi wala miraa, no vile sinaga ushabiki mavi kumshabikia mtu hata akikosa
Nimependa ruge alivyouliza kati ya zari na wema anamchagua nani, rugs kajibu daimond
Jamani ifike mahali wamuache Chibu afaidi maisha yake. Amekataliwa sana na kila mtu aliona kuwa huyu jamaa hawezi lolote maishani. Leo nimesikia Ruge anasema walimkataa Chibu pale THT kisa eti hana kipaji. Same thing ikimkuta kwenye bongo star search. Alipoanza kutoka akapeleka nyimbo zake Dstv Dar lakini wakamkatalia. Meneja wake Sallam akaamua kwenda kuingizia nyimbo yake kwenye Dstv Nigeria. Fikiria ukataliwe home lakini upambane kwenda kutokea kwenye nchi ya watu. Sasa amekomaa akatoka ndo watu wanasema oh ana roho mbaya, mara ni mbinafsi. Tufike mahala tuwe na aibu...Mungu azidi kumsimamia Diamond Platnumz, wamezoea kutafuta kiki kupitia yeye.
Mumuache nae awape zake, wakome.
Wakitaka kurudi na nyimbo lazima Diamond y sio Mr. Nice, upwumba umewajaa ila kwake ndio anazidi kushamili
Haya kaenda kazini, njooni nanyi mburudike na show yake.
Haaa haa haa kweli jf n mahali pakupunguzia,stresUmmy dimpo kaleta balaa ili tumuamini atuonyesha kwanza dem wke kma hana atuonyeshe bwana yake
Hakuna anayefurahia anguko la mwenzake. Ila tunasema, na hii ni natural tu, kuwa ukiwa nacho na ukaongezea busara, inakuwa njema zaidi.Acha hasira kwa maendeleo ya mwenzako. . inaelekea ungependa ukiona akianguka. .utafaidika vipi na anguko lake? waache washambuliane watatulia wenyewe
Nataka kuamini si umaskini. If you want to think deep.Ha ha haaaaaa
Mwambieni Omi atoe hiyo pesa afanye collabo, sababu Davido yupo kwani alimkimbia au?
Kichekesho cha mwaka
Watu wanafanya collabo kwa nini yeye iwe Diamond alimtangulia kwani collabo zilipigwa marufuku tangu
Mbavu zangu, hawa wasaniii wengine umaskini unawasumbua kama omimi
Zero brainSafi sana Diamond Platnumz,walikusakama sana toka kitambo ila kama binadamu uvumilivu unafika mwisho unatakiwa pia kureact,wapo wengi watakao ona unajiona,unamaringo unajidai huku wakishindwa kutambua kuwa ni mtu ambae unatikanwa sana,kila tusi lakini ulikaa kimya saiv umewatolea uvivu na naamini hawatoweza tena kupata kiki kupitia wewe na wakiendelea kuchonga endelea kuwapa what they deserve.binafsi napenda unavyowajibu maana wewe siyo mnafiki.
Hata wewe unajifanya uko wise but tell you what? You know very little about this saga.Hapo ndipo mnapokosea watu... hivi KABISA KABISA ulitarajia Dimpoz angesema "nilikuwa na-mind sana mshikaji alivyokuwa anapiga hatua?" Did you expect that? Nakubaliana na minji moja kwa moja and from my experience! One of my favorite song dunia hii ni "Machoni Kama Watu!" Do you know why?
Hakuna asiyejua kwamba kwenye suala la views Dimpoz kamlenga Chibu; kwenye kufanya muziki kiujanja ujanja kamlenga Chibu; kwenye suala la muziki mbaya kamlenga Chibu... lakini kwavile Radioni kaongea kinafiki huku akijifanya too innocent; majority mmeingia king! Matokeo yake leo hii Diamond anaonekana mbaya kuelezea mafanikio yake... lakini ana haki hiyo: "mimi sijui kuimba; mnajua nyinyi; mimi nanunua views na views za ukweli mnapata nyinyi; mimi nina sauti mbaya; na wenye sauti mzuri ni nyinyi.... sasa inakuaje tena huyo huyo ambae ni mbaya kila eneo lakini ndie anafanya vizuri?" Huu ndo ukweli ambao hamtaki kuusikia kwavile mmetekwa na "fake innocency" ya Ommy Dimpoz! To be honest inakera... mtu una-fight usiku na mchana hadi wapuuzi wengine wanafikia kusema anamtia mama ake... halafu anatokea mpuuzi anakuambia unafanya muziki wa kiujanja ujanja!" Watu wanafahamu moja ya mafanikio makubwa ya Diamond ni video zilizoenda shule... mle hamna uchawi zaidi ya ku-invest millions of shillings... ukifanya vizuri; anatokea mtu anasema unafanya muziki kiujanja ujanja... kwanini usimtukane ukikumbuka mateso unayopata!!
Unless uwe mnafiki ndo unaweza kuvumilia or else; utafyatuka tu!!! Na hata katika hili; is all about what is best for you: UNAFIKI AU REALITY!
Na msisahau kwamba, hadi mambo yanakuja mitandaoni yanaanza chini chini! Na aliyeyaleta huku mitandaoni ni huyo Dimpoz mnayemtetea baada ya kusema "watu wananunua views" huku watu wakijifanya hawajui kamlenga nani!!! Ni mwendelezo ule ule wa "kununua tuzo....!"
To be honest. hata kama dogo ni punga ila kichwani yupo vizuri kuliko mond. na kuwa na mafanikio haina maana una busara au akiri wakati mwingine mtu unakutana na zari unabonyeza right button at the right time basi. unamshukuru mungu anayenyesha mvua kwa wema na wabaya
Did I claim anywhere that I am wise? I doubt and if the answer is NOT then your allegations are pure CR'AP! That's one but second, you can claim to know more about this saga only if you're Diamond and at the same time, you're that Dimpoz guy! You don't sound like any of them, so, being one of them can give you only 50% of knowing the saga correctly but being a third part, your chance will be below 50% and the figure will decline with a distance between you to either of them! For instance, Zari and Rommy are much closer to one of them compared to how Le Mutuz is! So, under normal condition, if Zari knows only 45% of the saga, we expect Le Mutuz to know less than 30%! How far are you from a nucleus? I am afraid, you know little to nothing as well that's why you'd no gut to say anything about it!! Alternatively, all you did was to attack people all the way instead of saying what you know if you really know a thing!!!! Did you get that?Hata wewe unajifanya uko wise but tell you what? You know very little about this saga.
DuuhDid I claim anywhere that I am wise? I doubt and if the answer is NOT then your allegations are pure CR'AP! That's one but second, you can claim to know more about this saga only if you're Diamond and at the same time, you're that Dimpoz guy! You don't sound like any of them, so, being one of them can give you only 50% of knowing the saga correctly but being a third part, your chance will be below 50% and the figure will decline with a distance between you to either of them! For instance, Zari and Rommy are much closer to one of them compared to how Le Mutuz is! So, under normal condition, if Zari knows only 45% of the saga, we expect Le Mutuz to know less than 30%! How far are you from a nucleus? I am afraid, you know little to nothing as well that's why you'd no gut to say anything about it!! Alternatively, all you did was to attack people all the way instead of saying what you know if you really know a thing!!!! Did you get that?
Have a nice weekend!!
Nawe pia usimchukulie Mungu ujuavyo, kama ulishawahi pitia mitihani na ilhali wewe ni Muomba Mungu ndo utajua Mungu anahiyari zakewewee Mungu sio jambazi kama unavomfikiria wew Achen vitisho roho mbaya nyie
Sina team yoyote ila kwa hizi siku 2 diamond umejishushia hadhi sana.... Halafu si kila afanikiwae huwa ni bless za jah..... Na si kila ambae hajafanikiwa hana bless za jah na haistahili kumbeza.... Mtoaji ni mungu alie hai