Diamond atoa jibu la utata kufuatia interview ya Ommy Dimpoz

Watu wanafiki sana, Diamond kaanza kutukanwa na kusemwa vibaya siku nyingi sana, lakini siku zote hizo anakaa kimya hajibu chochote. Kama Binadamu lazima tukubali kwamba kuna wakati uvumilivu unafika kikomo. Mwacheni Diamond naye ajibu. Halafu tukumbuke kwamba hadi sasa Diamond bado hajaweka wazi chazo cha ugomvi. Siku atakapojibu ndio tutajua nani mbaya.
 
Hayo maneno si mazur kabisa kuongelewa na mtu kama yeye,na hakuna sehem yoyote aliyotajwa na Ommy kuwa ana roho mbaya namshaur Ommy anyamaze kimya hili suala litapita tuu
Nilikua na mawazo kama yako. Diamond kanishangaza..DAH NIMEJIFUNZA KITU KATIKA HILI KWAMBA UNAWEZA UKAWA NA MSHIKAJ WAKO SANA MMEKUA WOTE NA MME HUSTLE PAMOJA YAN UNAMUONA MWANA WAKO KABISA FOR BETTER FOR WORSE, YAN U TAKE HIM/HER AS A BROTHER/SISTER, NA ANAPOFANIKIWA UNAFURAHI, UNA HAMU KUKAA NAYE NA KUSHAURIANA MAMBO MBALIMBALI YA KIMAISHA, LAKIN KUMBE MWENZIO WALA ANAONA SIJUI UTAMPITA AMA VIPI, KUMBE WEWE WALA UKO FINE KABISA UMEWEKA UTU MBELE NA UNA VALUE THAT FRIENDSHIP KAMA MBONI YA JICHO LAKIN MWENZIO ANACHUKULIA POA, MARA ANAKUKWEPA ..LAKIN WEWE U JUST WANTED TO BE THERE FOR EACH OTHER NA SIO NANI ATAMPIKU NANI
 
We halima kimwana umekuja kumtetea domo

Ha ha haaaaaa

Mwambieni Omi atoe hiyo pesa afanye collabo, sababu Davido yupo kwani alimkimbia au?

Kichekesho cha mwaka


Watu wanafanya collabo kwa nini yeye iwe Diamond alimtangulia kwani collabo zilipigwa marufuku tangu

Mbavu zangu, hawa wasaniii wengine umaskini unawasumbua kama omimi
 
team fulan mna roho mbaya kama mnavochukia harufu ya chooni


Ha ha haaaaaa

Mwambieni Omi atoe hiyo pesa afanye collabo, sababu Davido yupo kwani alimkimbia au?

Kichekesho cha mwaka


Watu wanafanya collabo kwa nini yeye iwe Diamond alimtangulia kwani collabo zilipigwa marufuku tangu

Mbavu zangu, hawa wasaniii wengine umaskini unawasumbua kama omimi
 
Sina team yoyote ila kwa hizi siku 2 diamond umejishushia hadhi sana.... Halafu si kila afanikiwae huwa ni bless za jah..... Na si kila ambae hajafanikiwa hana bless za jah na haistahili kumbeza.... Mtoaji ni mungu alie hai
A friend in-need is a friend indeed.
mkuu umeongea point muhim sana great thinker yoyote ataelewa msg ya hapa
 
Binadamu wengine nadhani walizaliwa na vichwa empty.


Ha ha haaaaaa

Mwambieni Omi atoe hiyo pesa afanye collabo, sababu Davido yupo kwani alimkimbia au?

Kichekesho cha mwaka


Watu wanafanya collabo kwa nini yeye iwe Diamond alimtangulia kwani collabo zilipigwa marufuku tangu

Mbavu zangu, hawa wasaniii wengine umaskini unawasumbua kama omimi
 
Akinya kuku shangwe, Bata akiyahara Basi kachafua. Siku zote hata wewe unayesoma comment hii ukifanikiwa lazima uchukiwe hata uwe mzuri vipi. Maskini wengi huteteana; Diamond Hajidai wala nini ni hofu yenu Tu, pia hata kama unamponda mwenzio wakati anapasua maanga na mavisa we unarudi kwako kula Sombe/Kisamvu huoni unapoteza muda?
 
Acha hasira kwa maendeleo ya mwenzako. . inaelelea ungependa ukiona akianguka. .utafaidika vipi na anguko lake? waache washambuliane watatulia wenyewe
Kwani Diamond ana tatizo gani awe na maadui kiasi hicho? mara kiba, mara Davido, wema, Jokate bila kusahau baba yake mzazi wote wamemkosea? Diamond siyo malaika acheni kukumbatia ujinga na mkumbusheni Hakuna kinachobaki juu daima matabaka anayojiwekea leo ndo yatakayomuangamiza
 

Mpaka ufuatilie mtu basi wewe huna kazi.
Kama uko busy na mambo yako kwanini umfuatilie mtu?
Ooooh mara hana mziki mzuri ooh ana nunua viewers !
Akijibu oooh mbaya
 
Diamond tunakupenda, lakini kwa hili taratibu tafadhali, kutangulia sio kufika, safari ni hatua. Uliyemtangulia haina maana kwamba eti "Mungu hajamfanikisha au kamuadhibu" pengine wakati wake haujafika. Ni vema ukachagua maneno ya kuongea na usipendelee kujikweza hadharani huku ukiwabeza watu, haipendezi.
 
Nadhani hujamsikiliza dimpoz vizuri,ila kwa akili zenu nyie na mateam yenu hayo mnaona sifa kufanya vitu kwa mihemko bila kufikiria,sio kosa lenu
 
sasa mimi nashangaa
kwani davido alivofanya collabo na chibu kakimbia?
au iyanya kaacha mziki?
si akafanye nae na yeye?!
ommy anataka kujifanya kama innocent alionewa ...
kila kitu kina mipaka bwana sio kufatana fatana kama wanawake!
halafu sasa kama diamond angekua na roho mbaya asinge wasainisha kina rich mavoko akawakuza!
diamond hajaziba ridhiki ya mtu yoyote.. mwenye kutaka kwenda international aende kimpango wake jamani njia siwanazijua?!

urafiki sio mpaka kwenye kazi! muziki ni ushindani kila mtu lazima afiche karata yake..
yeye ommy alitaka kubebwa mpaka lini??
 
Dunia ya sasa imebadirika sana hata tukiachana na habar za mond na ommy,ukitaka kuishi kwa raha mambo yako ya mafanikio au mipango yako heri uwaambie baba na mama kama hujaoa,au mshirikishe wife au husb au ndugu wa tumbo moja basii,wengine hawapaswi kujua wanapaswa waonee tuu kitu kimeishatendeka umdhaniae ndie kumbe sie na urafiki haufai kbs siku hiz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…