Acha dharau kwa mama zako. Wanaume waliokosa kazi ndiyo tabia zao usiwasingizie wanawake. Vijana fanyeni kazi acheni hizo. Mwacheni modo mnasahau kuwa kunguru hafugiki[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]Mleta thread una tabia za kike yaani vitu vidogo unakimbilia kufungua thread.