Diamond atoa mapovu kuhusu yanayoendelea mtandaoni

Hakuna kitu...dogo hakujiandaa kuwa supastaa...kalikoroga kwa kiherehere chake cha kupenda kuongeaongea hovyo na media na social networks...

unakumbuka skendo ya chamelion wa uganda akiwa arusha...alipiga kimya na ikapotea in a thin air...sasa huyu don wa madale kumtia mtu mimba na kuzaa katoyo kamoja nje ndio akaliongelee kwe tv na radio kama nyerere alivyoitangazia dunia vita ya uganda.

Aache upuuzi akuwe na akili zingine za kiume akae na babake mzazi ampatie sio kila siku yeye na wanawake ndio sababu ya kuwa na tabia za kikekike jambo dogo hilooo kwenye media.

Wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika...teso la kwanza koromelooo....unayo yamejaa kifuani kolomelo ndio linakutesa kuzuia yasitoke.

Achana naye apambane na hali yake...hiyo kesi ya mobeto itamkosesha amani na furaha maishani...ajiandae kuporomoka kiuchumi na bado seduce me anamkimbiza kimyakimya....mamaaaaeeeee.
 
Mtoto wa kiume komaa kimpango na wakileta shobo chapa nao kwani nani ndiyo nani.. JE ANGEKUWA SHOGA MNGESEMAJE ,??
 
Apo mkuu umesomeka vizr San

Saiz umenielezea na nimekuelewa vizr San tena San ,,,BT jamaa hakua ivi mwanzon coz alikuaga anapiga kimy mar nyng BT nw days anakurupuka kiukwel
 
Naona wasafi,sasa wamegeuka kua wachafu". Alianza Hormonize,,,,, Moze,,, sasa baba yao Mond aka wamalaya.
 
Tatizo dogo kazoea sana sasa kwa huyu mabeto kakanyaga cable yaani atajutaa
 
Hakuna mashabiki wa pande mbili! Kuna mashabiki na haters; PERIOD! Mashabiki wanakuwa na yule wanaemshabikia muda wote! Na ndo maana, wakati zamani Diamond alikuwa anaongoza kwa Followers akifuatia Wema, alipoachana na Wema na kwenda kwa Zari, mashabiki wake wakamfuata huko huko kwa Zari na hivi sasa Zari ndie next to Diamond kwa followers!!

So, hiyo message sio kwa mashabiki wake bali kwa haters wake ambao ni wanafiki watupu! Kama ni wanaume na wenyewe hawachoki kufungua zipu na kama ni wanawake kwa mwaka wanavuliwa chupi na angalau wanaume watatu tofauti lakini hapa wanataka kujifanya wao sio malaya!
 
Tatizo dogo kazoea sana sasa kwa huyu mabeto kakanyaga cable yaani atajutaa
What's so special alichofanya Mobetto hadi Chibu ajute? Hiyo kutoa ushahidi kwamba kazaa na Diamond; au?!

Huyo Mobetto mwenyewe ndo anajuta! Kasikiliza maneno ya wapumbavu wenzake na matokeo yake anaishia 200K kwa mwezi kiasi cha kufikia kuwatolea povu akina Idris!!
 
Ukipenda kiki wakati mwingine hugeuka kuwa kero.
 
Wetu wote Tanzania,,,mama tee vipi halambishi tena watu ndimu[emoji23][emoji23]
Umeona dai kasema hajaoa bado,[emoji23][emoji23] huyo ndio daimond platnumzz chibudee chibude
wako na hamisa, kawaida mbona mapenzi kuvunjika hamna cha ajabu hapo
 
Baada ya maneno kuzagaa kwamba kwa sasa yupo na mwanamke mwingine, wakati huohuo bado anaendelea na Wema Diamondplutnamz ameamua kuweka wazi na kuandika haya kwenye page yake ya Instagram:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…