Diamond atoa mapovu kuhusu yanayoendelea mtandaoni

Aisee...kiburi sana huyu jamaa "kojoa dhahabu , ina sukari"...anyway kila mtu apambane na hali yake...funzo kwa wadada mkijirahisisha mtafunuliwa sana hasa kama hujielewi na mtoto juu na unaacha au kuachika manake tabia hizo hakuna mvumilivu.
 
Nasikia hapo anasema ruksa hata kuwa na wanaweke wa 4 na hayo machpsi anayokula ataweza kuwatimizia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…