Diamond atoa shavu kwa wasanii wachanga watano,mmoja kusainiwa WCB...vijana changamkieni fursa hiyo

Madimba jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
1,577
Reaction score
3,146
Mwanamuziki wa kimataifa,kutoka WCB,Diamond platnumz ametoa shavu kwa wasanii wachanga kutunga wimbo mfupi na kuhusu Wasafi FM 88.9 washindi watano watapata nafasi ya kurekodi bure kwenye studio kubwa nchini na kushoot video kwa Hanscana na Zoom production huku yule atakayefanya vizuri zaidi atapata nafasi ya kusainiwa na WCB.....kazi kwenu vijana Mungu awape nini tena?
 
Ali Kiba achangamkie fursa hii.
anataka kuwa mdhamini... hana muda na majukwaa mwezi huu was Nov. hivi mofaya INA matangazo ya maredioni na kwa mativii kama ilivyo azam zote, mo zote, D karanga etc... kama hana matangazo ana mkakati gani wa kimasoko?? au ndio king kiba... mfalme juha
 
Diamond mkombozi wa sanaa ya Tanzania. Wasanii wanaomponda hawajawai ifanyia kitu sanaa yetu zaidi ya mashauzi.
Bob junior alimpigia simu Ali K akiwa USA kwenye show..akamuuliza kuna dogo amekuja kurekodi studio..Kiba akamwambia fanya nae kazi..dogo mwenyewe ni Nasibu Abdul wengi mnamwita Diamond Platnumz.....
 
Naona akina harmo wameshatumika wakaisha utamu kama big G vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…