Diamond atumbuiza Big Brother

Diamond atumbuiza Big Brother

Safi sana Diamond, amepiga bonge la show kuna watu kibao walikuwa wamekaa wanasubiri wapate la kuzungumza...Diamond kawafunga midomo.

Big up Diamond....umekata ngebe.

Yaah dogo amefanya kweli
 
mwacheni dogo ashine;ndo wakati wake huu;ila atumie tu akili;asiwaze tu kama wale viongozi wanaotumia mata....kuwaza coz 'wat goes up must come down'
 
though lugha sio issue kwa sasa kwa wabongo wengi tu coz tunaangusha yai accordingly but dogo katuokoa sana;nilidhani tutapata aibu kama iliyotupata kwa Matonya katika tusker project fame mwaka jana-aliulizwa yai akajibu tofauti kiswazi-nilikua kule;nilitaka nijifiche!
 
Majungu Majungu Majungu..... Hvi kuongea "English " ni issue eh!!????


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Kwa swala la english alikua ameshaambiwa maswali atayoulizwa hivyo alikua na majibu tayari, lakini bado namsifu nadhani pia anajua english hata kama sio kihivyo. Alifanya vyema sana hakuharibu popote pale maana wabongo wapo kwaajili ya kuponda tu. He made Tz proud.
 
Wewe asrams, kama inglishi sio ishu, deile bledi, am marieji, I injia women company, yaliyoka wapi mjengoni wakati wa EALA?

Watu wana taito za 'Dr' walikuwa wanaambiwa kuomba kura wanauliza 'Saa spika, you want kwesicheninzi from me?.

Chezeiya ngeli wewe?

Majungu Majungu Majungu..... Hvi kuongea "English " ni issue eh!!????


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Last edited by a moderator:
Kwa swala la english alikua ameshaambiwa maswali atayoulizwa hivyo alikua na majibu tayari, lakini bado namsifu nadhani pia anajua english hata kama sio kihivyo. Alifanya vyema sana hakuharibu popote pale maana wabongo wapo kwaajili ya kuponda tu. He made Tz proud.

nachowakubali haterz,huwa hamkubali kushindwa.
 
hivi mwalimu wake ni nani?

Natafuta nijifunze jamani, nimechoka kuumbuka.

Nilienda mahali panya akawa ndani, afu wenzangu hawajui kiswahili, mie panja simjui kwa kizungu.

Nikawauliza do you know Tom and Jery? Wakajibu Yes.

Nikawaambia Jery is inside.
Hahahah hahaha hahah hahah !
 
hivi mwalimu wake ni nani?

Natafuta nijifunze jamani, nimechoka kuumbuka.

Nilienda mahali panya akawa ndani, afu wenzangu hawajui kiswahili, mie panja simjui kwa kizungu.

Nikawauliza do you know Tom and Jery? Wakajibu Yes.

Nikawaambia Jery is inside.

hahahahahahaha kony utaniua
 
Back
Top Bottom