Usimlinganishe duly na plutnum sikiliza nyimbo nyingi za duly utaona uzaifi wake.
Fa haingii kabisa kw plutnum kwa nyimbo zake za kushirikishwa akitowa mwaka1 hadi2 ipite tena
Profesa alichuja kwa sbbu alikuwa sio mbinifu wa kubadilika kwa hiyo watu wakamzoweya ku rap kwake sikiliza nyimbo zake mpya azihit kwa sbbu habadiliki awe anahimba si kila siku ku rap
Jd siwezi kumzungumzia dada yetu hiyu kwani ni mfano wa kuigwa toka enzi za machozi. Enzi hizo tilikuwa hatukosi kwenye uzinduzi wa msani na ma concet ma tamasha mm nampongeza jd
Diamond kwa kweli nampa pongezi sana tu kwa muziki wa hivi ss ulivo tanuka na kuzalisha wasanii kibao kila siku bado unakuwa kila sk ww namba 1 simchezo timpe ongera zake
Kuhusu kubadili madem yy si wa kwanza naona kazi ya mziki ndio chanzo cha madem kushoboka na kuwa karibu ma plitnum na si hapa tu huko ma juu msanii kunadili dem kitu cha kawaida