Hivi na kaswida sio muziki?..au we mwenzangu tafsiri ya mziki ni bongo flavour?...acha ubwe....g.e......ile ni kazi na kama ni dini na imani yako peleka kwa wanao coz diamond akujui na wala hamsaidii kutafuta hela chupi....mwache atafute pesa ya kwenda hijja na ww endelea kushinda msikitini ala atafikiria kuja kukufuturisha....
Kwa uchangiaji wa aina hii , i better reserve my energy kudebate na mtu wa type hii ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
dini hijui masikini umebaki na kutukana tu.
NB: Uimbaji wowote unaohusisha MAAZIF(Ala za muziki) ni HARAMU hata kama lyrics (mashairi) yake yatakuwa yanamtaja Mungu.
Lile lingine linasubiri mawingu wakusanye watu wa kumzomea ndo apande chati. Safi sana Chibu, watangoja sana.
Kwani imeandikwa wapi mwezi huu mtu hautakiwi kufanyakazi inayokuingizia kipato......? Tumia akili ndio nyie mnashinda msikitini mpaka masheikh wanawafukuza
Mkuu tatizo sio kuingiza kipato, tatizo NJIA INAYOTUMIKA kuingiza hicho kipato. Kwa imani yake diamond(uislamu) hatakiwi kufanya anachokifanya iwe ni ramadhani au mwezi mwengine.
huu msemo wa "ile ni kazi kama kazi nyingine" unatumika vibaya sana. Kama ni ishu ya kuingiza kipato ,je wanaouza gongo,mwili nao waachwe tu kisa wanaingiza kipato? Think wisely mkuu. Dunia tunapita, tufanye kazi za halali zitakazotupatia vipato vya halali(kwa mujibu wa imani zetu) ili kesho mbele ya Mungu tuwe mahala salama.
na huyo amemsubiria dewji. kichwa maji wewe
Mziki ni kazi ya anasa,Ndio maana madisco yameajiri watu na yanafungwa ni anasa
Watu wanamtetea,wanampenda diamond zaidi ya dini