appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,262
- 2,184
Ebu na wew kwenda uko. Maana ata huelewi kinachoendelea...kwani ni lazma nimfollow? Kwa kifupi nina account na nilimfollow akaniblock kuna kingine?
Kumbe alikublock ndio maana unasema mpaka anaingia pale hakuna aliekua anajua ishu ni kwamba kila mtu alikua anajua diamond atatumbuiza ndio maana wakajazana