binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
teh!teh!teh!teh!ukiwapa madereva waendeshe wanajifanya mara ooh!kuku mmoja aliruka njiani,au utasikia tulikamatwa na traffic tukawapa kuku watano ndio tukaachiwa!!ahahaha yaani majanga!!bora niendeshe mwenyewe na kuwajaza mwenyewe kwenye gari!!!
Sante sante santeee weeeeeeeee, papers chaser ama nene!