Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
Be wiser than other people if you can but dont tell them,trust me utatumia muda wako mwingi kuwaelewesha jambo dogo kama hili.
Ni kweli kabisa mkuu!lakini hili tangazo lilibandikwa karibia kila kona ya singida!Instagram account nyingi zilikuwa na hili tangazo,mbona watu walikua wanajua kila kitu kuhusu mkutano??