Shekizongoro
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 388
- 153
Dah., kuna tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
teh teh teh.teh.teh.teh.teh.teh Kushika dog...
oh God help me!
mtanzania wa kwanza kufanya niini?
Huu uzi hauna lengo la kumsifuView attachment 168691
Wazungu walimshangaa sana kwa muonekano wake wa kisupastaa na bei ya mbwa huyo ilivyo ghali ambapo inaaminika kwa bongo inaweza kutosha kununua verossa.
Big up Dangote platinum...haters watakoma mwaka huu.
Labda kutembea na mbwa kwa maana ingine.
Ngoja nikuulize jambo moja! Hivi unafahamu ni kwanini mtu anaweza kutoka Posta (Dar) hadi Kimara kwa mguu na wala asidhuriwe... na anaweza kufanya safari za namna hiyo mara kadhaa na bado akawa salama hata kama yeye si mpiganaji hodari? Kama hufahamu, sababu ni kwamba duniani watu wema ni wengi kuliko waovu vingenevyo usingeweza kufika hata jangwani!NasDaz njoo huku
hapana mkuu wewe huwajui mbwa, huyo mbwa ndio shape yake ingia Google angalia aina mbwa utaelewa tena hao kwa ulinzi ni balaa, hapa natumia simu ningekushushia vitu.