Diamond kawajibu vzur sana...team wema chaliiii,ila soon wataachana tena,wasipoachana nalala uchi kona baa tigo ikiwa juu..cku tatu..
Jokate hadi kuingia ubongo was fleva na degree yake ni kufulia my dear. Hata kumdate domo ni ucheap pia
Tukae chini na popcorn movie ndo kwanza inaanza, safari hii Wema akiachwa sijui atakuwa na hali gani
Huyu Diamond baada tu kutoa nyimbo ya kindololo basi nikaelewa fika sasa hivi mziki wake ameulenga kwa waswahiswahili na nitashanga kwenye top 10 za uswazi kwa Zembwela kama haipo.
Uswahili wa Diamond ni huu kubishana na wauza K wa mjini anashindwa kujuwa alipata hata heshima ya kukaa meza moja na Rais na anatakiwa hizi team mavimavi hasijishughurishe nazo. Mswahili wa Tandale kubadilika ipo kazi.
Dah ni kweli na jojo shule inamsaidia sana hata kweny
kufanya mambo yake ila Wema nilikuwa nampenda ila sasa sifa zikamzidi na team yake eti ana nyota kali hataki kujishughulisha anasubiriwa kupewa abadilike wanaume wahongaji adimu lazima wakuchoke
Hahaha tuzo ya Afrima kaitunza ndani mbona.
umeona eeeh!
aachwe mara ngapi?!!hayo maneno tayari talak tosha labda km mtu amehak account
shosti upooo?!!binamu namtamani hapa!!
Huyu pia ndio wale wale...kwa elimu aliyo mayo hakuwa was kukata mauno jukwaani name kugombea mbo..o name watu ambao hata vyeti hawana na kumkuwadia Rio Paul kwa mabwana mjini (alafu watu wanasema Ana akili?? Really? Degree inatumika kukuwadia name kukata mauno?Katika vitu ambavyo huwa nashindwa kuvielewa ni hili la Jokate kwenda kumpanulia Diamond, Sasa hivi nimedharau hata wanawake wengine maana maana naamini with Cash wamebaki wanawake wachache sana wenye msimamo wa kutompanulia mtu kwa ajili ya pesa au umaarufu wakati hana qualities unazozitaka.
Mimi nadhani Jokate mumtambuwe tu kama muhitimu wa chuo kikuu tu na siyo msomi kabisa. tena hili la kwenda kukatishwa mauno nimelipata leo humu maana Fiesta mimi huwa sifuatilii hayo mambo.Huyu pia ndio wale wale...kwa elimu aliyo mayo hakuwa was kukata mauno jukwaani name kugombea mbo..o name watu ambao hata vyeti hawana na kumkuwadia Rio Paul kwa mabwana mjini (alafu watu wanasema Ana akili?? Really? Degree inatumika kukuwadia name kukata mauno?
Huyu Diamond baada tu kutoa nyimbo ya kindololo basi nikaelewa fika sasa hivi mziki wake ameulenga kwa waswahiswahili na nitashanga kwenye top 10 za uswazi kwa Zembwela kama haipo.
Uswahili wa Diamond ni huu kubishana na wauza K wa mjini anashindwa kujuwa alipata hata heshima ya kukaa meza moja na Rais na anatakiwa hizi team mavimavi hasijishughurishe nazo. Mswahili wa Tandale kubadilika ipo kazi.
Na nyie mnakuwa vichwa maji hata kushtuka hamshtuki kwamba ndomo amefikia saturation point so anatumia hivi viskendo kujibust..!!!!!
wewe kweli mkono wa paka,wote diamond na wema wamelelewa choonidiamond kawajibu vzur sana...team wema chaliiii,ila soon wataachana tena,wasipoachana nalala uchi kona baa tigo ikiwa juu..cku tatu..
Jokate nilikuwa nampenda na kumheshimu sana. Ila tangu alipokuwa na jamaa nikachefuka. Kumbe nae cheap hivi tena kwa watu wasio wa maana.
Kwakweli hawa si wakulaumiwa na hapa single Mother wameprove fairule. Ila Jokate naye kichwa chake kina matatizo gani?wewe kweli mkono wa paka,wote diamond na wema wamelelewa chooni
Hata kama kupenda upofu huu wa wema ni balaa mimi ningeondoka zangu
Baada ya timu Wema kumzodoa Diamond kwa kumkatisha miuno kwenye tamasha la fiesta,Diamond kawajibu punde na kutoa msimamo wake!!!
Picha soon inakuja!!!
bongo hapa waschana maarfu siku akiolewa wema wengine wote wanaolewaHajui kusoma alama za nyakati anangojea aolewe
Katika vitu ambavyo huwa nashindwa kuvielewa ni hili la Jokate kwenda kumpanulia Diamond, Sasa hivi nimedharau hata wanawake wengine maana maana naamini with Cash wamebaki wanawake wachache sana wenye msimamo wa kutompanulia mtu kwa ajili ya pesa au umaarufu wakati hana qualities unazozitaka.