Hahahahahah utupe Tarehe Mkuu utakayo lala tigo juu tuje kunywa Kona Baa heheheheeh! Umepinda
Diamond kawajibu vzur sana...team wema chaliiii,ila soon wataachana tena,wasipoachana nalala uchi kona baa tigo ikiwa juu..cku tatu..
Leo usiku nilikuwa naangalia kipindi cha boys boys Tv1 anachohost Mwisho Mwampamba mgeni alikuwa Mtanzania Nando aliyeshiriki BBA mwaka 2013.
Basi Mwisho akamuuliza kushiriki BBA umeeaidika na nini? labda connection fulani au milango fulani ilikuwa imefungwa sasa inafunguka?
U cant beleive the guy alichojibu sasa hivi akienda Club halipi kiingilio ila yeye ndio huwa sometime analipwa, Pili hata akipita airport Bongo sasa anajulhkana na anapewa care fulani hivi.
kwakweli sikuamini kama huyu Mtanzania amekaa muda Marekani kama yuko shallow namna ile, Hivi ameshndwa hata kujuwa Mwisho Mwampamba yupo Tv1 lakini connection ile source yake ni big brother?
Usimshangae sana Jokate hata archivement ndogo anazofanya itakuwa na kutoa papa lake kunahusika hana akili kichwani.
Diamond kawajibu vzur sana...team wema chaliiii,ila soon wataachana tena,wasipoachana nalala uchi kona baa tigo ikiwa juu..cku tatu..
nyie mnaomsema Jokate mbona sijaona cha ajabu pale...... hata alivyokua anacheza ni classic ofauti na Mama wa vigodoro na kitorondo.
kina Niki wa pili si hao wana masters na wanapanda jukwaani....
teamwema baada ya kuambiwa watafute ndimu kama wamechefuliwa.
naona wameamua kufunga kampeni yao ya #bringbackourwema wamekutana na mswahili wa tandale.........
Huyu Diamond baada tu kutoa nyimbo ya kindololo basi nikaelewa fika sasa hivi mziki wake ameulenga kwa waswahiswahili na nitashanga kwenye top 10 za uswazi kwa Zembwela kama haipo.
Uswahili wa Diamond ni huu kubishana na wauza K wa mjini anashindwa kujuwa alipata hata heshima ya kukaa meza moja na Rais na anatakiwa hizi team mavimavi hasijishughurishe nazo. Mswahili wa Tandale kubadilika ipo kazi.
Huyu Diamond baada tu kutoa nyimbo ya kindololo basi nikaelewa fika sasa hivi mziki wake ameulenga kwa waswahiswahili na nitashanga kwenye top 10 za uswazi kwa Zembwela kama haipo.
Uswahili wa Diamond ni huu kubishana na wauza K wa mjini anashindwa kujuwa alipata hata heshima ya kukaa meza moja na Rais na anatakiwa hizi team mavimavi hasijishughurishe nazo. Mswahili wa Tandale kubadilika ipo kazi.
Mwanamke yeyote anayepanuwapanuwa mpapa lake na kuporana mabwana huwezi kuniconverce yupo next level. Jokate ni muhitimu tu wa chuo kikuu lakini upstairs kuna walakini.the girl yuko next level..... huwezi mlinganisha na wema hata kidogo kwahiyo ana utilize every opportunity she gets.
kwahiyo ukiwa na degree usipande jukwaani kuimba....
Habari ndio hiyo hao walutaka Diamond amfunge kama wema ama?
Naona alichojibu kiko directed zaidi kwa Wema na sio hizo team.Ameonyesha mambo matatu.1-kuwa wema anamarafiki wabaya.2-anapenda starehe au unywaji wa pombe.3-hapendi kufanya kazi.Ninauhakika ile message hata wema haijamfurahisha.Kamwita huyo msanii wenu...inamaana hajui jina lake?...ukisoma kwa makini ile message utaelewa naongelea nini.Wema needs to strike while the iron is still hot!!!!!!:flame:
Diamond kawajibu vzur sana...team wema chaliiii,ila soon wataachana tena,wasipoachana nalala uchi kona baa tigo ikiwa juu..cku tatu..
Kwa exposure aliyonayo jokate jumlisha na elimu yake kuna mengi Sana ya kisomi angefanya kuliko kukata mauno pale jukwaani. I swear jokate alikuwa mtu wa kukutana na vichwa vikubwa flani duniani (world bank n.k) km kweli angetumia nafasi name elimu yake ya pale mlimani vizuri. Siwezi kuweka idea hapa as nitamfungua macho...Still namuona Kama aliyefulia tu
Kwa exposure aliyonayo jokate jumlisha na elimu yake kuna mengi Sana ya kisomi angefanya kuliko kukata mauno pale jukwaani. I swear jokate alikuwa mtu wa kukutana na vichwa vikubwa flani duniani (world bank n.k) km kweli angetumia nafasi name elimu yake ya pale mlimani vizuri. Siwezi kuweka idea hapa as nitamfungua macho...Still namuona Kama aliyefulia tu
Diamond kawajibu vzur sana...team wema chaliiii,ila soon wataachana tena,wasipoachana nalala uchi kona baa tigo ikiwa juu..cku tatu..