Diamond awajibu Team Wema


aiseeeh!
kuingia club bure ndo faida?!!!
hana akili
 
Diamond kawajibu vzur sana...team wema chaliiii,ila soon wataachana tena,wasipoachana nalala uchi kona baa tigo ikiwa juu..cku tatu..

Sema tu umekamis kamchezo kako ka long tym wataka karudia kwa mtindo wa bettn, hahahahah huku kweli kwa maGT


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨uuuu
 
nyie mnaomsema Jokate mbona sijaona cha ajabu pale...... hata alivyokua anacheza ni classic ofauti na Mama wa vigodoro na kitorondo.

kina Niki wa pili si hao wana masters na wanapanda jukwaani....

umeonaa
bora umenisaidia jokate anakaba
wapo wengi wasomi na wanaimba
unaweza kumuita kiraka
mi sishangai ye kuimba s anatafuta kwa riziki yake
 

Huyo uliyemtaja kuwa alikaa naye meza moja sii ni mswahili tuu naye! Usije kuta jioni anacheza kindololo pale jumba kuu.


Sent from my iPad using JamiiForums
 

Duh Matola we jembe
 
Last edited by a moderator:
Wema atafikisha rekodi ya kuwa mwanamke aliyechunguliwa uchi na wanaume wengi na rekodi hiyo itakuwa hivi kwenye kila mkao wa mapedeshee kumi saba wamemchungulia uchi.Diamond piga chini huyo .
 
the girl yuko next level..... huwezi mlinganisha na wema hata kidogo kwahiyo ana utilize every opportunity she gets.

kwahiyo ukiwa na degree usipande jukwaani kuimba....
Mwanamke yeyote anayepanuwapanuwa mpapa lake na kuporana mabwana huwezi kuniconverce yupo next level. Jokate ni muhitimu tu wa chuo kikuu lakini upstairs kuna walakini.
 
Mwenzio hawezi omba talaka wala haelewi hilo, yee anasubiri kuolewa hapo
 
Habari ndio hiyo hao walutaka Diamond amfunge kama wema ama?

Mwanaume anaekupenda lazima akushauri vizuri pia akusukume upate mafanikio yaan kwa aliyoongea domo yaan yupo na wema tu basiii yaan wema kwa domo kalishwa limbwata la kufa mtu
 

Kweli kabisa
 
Jamani tupeni habari ya dangote na Menina
Wema unajilazimisha mapenzi na dangote utashaaaaaa hana habari na wewe utamkumbuka clement mpaka ufeeee na hiv domo anamsikiliza mama yake we ndio kwanza mama humsikiliziiii dangote komesha hilo wemalaya mpaka lizeeke halina kitu
 
Ila kiukweli wema inabidi abadilike.....
zaidi ya kujaza kabati manguo,mawigi,viatu sidhani kama kuna jingine la kufanya zaidi ya kutujazia mipicha mitandaon...hiyo endless imekwisha habari nahisi imejaa buibui tu sahizi...
angekuwa mtu mwenye akili hivi sahiz angezidi kuchanganya akili za maisha kufanya vitu vya maana...lkn anaishia kunengua tu..
hili toto halina akili kabisa
 
kweli kabisa...hivi yale ma weaving yake amesitisha kuyauza?..kandambili je?..ila anajua ku hustle..sema hatulii
 

Kuna wanawake wana uzuri tu kichwani hamna kitu lakini wanajua kuutumia uzuri wao na level walizo nazo hakuna mwanaume na akili zake anaweza fika. Huyu angechanganya uzuri wake na akili zake maana sio mweupe kihivyo angekuwa icon wa hataree! Demu mkali na smart kidogo kichwani akiamua kuipursue opportunity ni mara chache sana anaikosa (this is unwritten law).
 
ahahahahhhhh, duh, nimecheka mimi asbh asbh lol!

Hapo kona bar utalala ndani au nje ya bar?

Diamond kawajibu vzur sana...team wema chaliiii,ila soon wataachana tena,wasipoachana nalala uchi kona baa tigo ikiwa juu..cku tatu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…