Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
just imagine wema ndo mdogo wako sasa...!!
Stuka weweee!HATA MI NASHANGAA,ANYWAY WEMA NI MTOTO WA MCHEPUKO WA mzee isack sepetu,MZEE AKAPIGA CHINI,MAMA DIAMOND HAJUI HATA MUMEWE ALIPO, NAMSHANGAA JK ANAVYOKUWA BIZE NA HIZI MBWEHA
just imagine wema ndo mdogo wako sasa...!!
Nipo mpenzi, kuja huku kunabore sikuhizi binamu hayupo hakuna umbea kama zamani jukwaa limepwaya
Yule ni mhitimuMimi nadhani Jokate mumtambuwe tu kama muhitimu wa chuo kikuu tu na siyo msomi kabisa. tena hili la kwenda kukatishwa mauno nimelipata leo humu maana Fiesta mimi huwa sifuatilii hayo mambo.
jokate juzi alikua anatangaza bidhaa za dewji
yule mjanja huwezi linganisha na wema
yule antafta jina ili apge pesa ndo maana anajituma sana
huwezi mlinganisha "kate kate "na wema
Ni kumtenga na familia tu hakuna namna aendelee na ushetani wake. Na walahi kama Diamond ni mfiraji basi takko la dezo ndio hilo mtoto hawezi kumnyima tigo domo akiitaka kwa style hii ninayoiona.
Mwana ya Ali Kiba ishawatia wazimu, sasa anaanza kutafuta kiki ili aandikwe.
Ova.
Kwa exposure aliyonayo jokate jumlisha na elimu yake kuna mengi Sana ya kisomi angefanya kuliko kukata mauno pale jukwaani. I swear jokate alikuwa mtu wa kukutana na vichwa vikubwa flani duniani (world bank n.k) km kweli angetumia nafasi name elimu yake ya pale mlimani vizuri. Siwezi kuweka idea hapa as nitamfungua macho...Still namuona Kama aliyefulia tu
Jokate hadi kuingia ubongo was fleva na degree yake ni kufulia my dear. Hata kumdate domo ni ucheap pia
Na nyie mnakuwa vichwa maji hata kushtuka hamshtuki kwamba ndomo amefikia saturation point so anatumia hivi viskendo kujibust..!!!!!
Bila skendo daimond hauzi.......
Yaani kila baada ya muda lazima waachie ushuzi ili watu wawajadili
Jokate hadi kuingia ubongo was fleva na degree yake ni kufulia my dear. Hata kumdate domo ni ucheap pia
Diamond kawajibu vzur sana...team wema chaliiii,ila soon wataachana tena,wasipoachana nalala uchi kona baa tigo ikiwa juu..cku tatu..