The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Asante kwa ufafanuzi mkuu Mkata-tamaa .Hakuna sehemu aliogombana na ATCL...clip inaonyesha anagombana na afisa wa uwanja wa ndege aliekuwa anaihujumu shirika letu la atcl
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa ufafanuzi mkuu Mkata-tamaa .Hakuna sehemu aliogombana na ATCL...clip inaonyesha anagombana na afisa wa uwanja wa ndege aliekuwa anaihujumu shirika letu la atcl
"Post hii imekufikia kwa udhamini wa ATCL"Sponsored post.
Alizama? N'gambo? Akaibukia wapi?Mkuu hiyo ID yako imenikumbusha mbali sana, wimbo wa ngapulila
huyu Ngapulila alikua na mawazo ya kuzamia ng'ambo.
Ndio nasbr ATCL nizamie ng'amboMkuu hiyo ID yako imenikumbusha mbali sana, wimbo wa ngapulila
huyu Ngapulila alikua na mawazo ya kuzamia ng'ambo.
Soma tena comment uielewa,hakuna sehemu iliyosema "Alizama" bali imesema "Alikua na mawazo ya kuzamia ng'ambo"Alizama? N'gambo? Akaibukia wapi?
Sisi hesabu zitatoka lini? Na tuna deni kiasi gani?Thubutu ati KQ Barca? ngoja mahesabu ya KQ ya mwaka 2018 yatoke loss lazma iwe juu ya $150mln! Hapo KQ ina deni last $2 bln Afrieximbank!
Kupotoka mlipotoka kitambo sio eti daimon ndiye atawapotoshaUzalendo wa kweli.. Ni vingumu sana kuona msanii wa kenya aki shabikia KQ bila malipo..
hongera Diamod hongera atcl hongera wasafi records. Lakini diamond upu_guze filamu zinazo potosha watoto wa tanzania
daimon ndiye nani 😂😂😂😂Kupotoka mlipotoka kitambo sio eti daimon ndiye atawapotosha