We Kila kitu unataka picha tu kwani ufuatiliaji mambo kwenye social network inamaana wewe chanzo chako Cha habari ni jamiiforum tu?Bila picha ni uzushi tu huu
Mbona kiba kampatia Tuzo Mdogo wake abdu kwa kuupeleka muziki kimataifa na hajatangaza[emoji4][emoji4][emoji4]
Chanzo changu ni JF,FB na Wikipedia/QuoraWe Kila kitu unataka picha tu kwani ufuatiliaji mambo kwenye social network inamaana wewe chanzo chako Cha habari ni jamiiforum tu?
Bila picha ni uzushi tu huu
Mbona kiba kampatia Tuzo Mdogo wake abdu kwa kuupeleka muziki kimataifa na hajatangaza[emoji4][emoji4][emoji4]
Nasikia hata kiba alishawapa tuzo kina wizkid tatizo hajatangaza hapendi showoff.Bila picha ni uzushi tu huu
Mbona kiba kampatia Tuzo Mdogo wake abdu kwa kuupeleka muziki kimataifa na hajatangaza[emoji4][emoji4][emoji4]
Dah mshumaa utakuunguzaBila picha ni uzushi tu huu
Mbona kiba kampatia Tuzo Mdogo wake abdu kwa kuupeleka muziki kimataifa na hajatangaza[emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bila picha ni uzushi tu huu
Mbona kiba kampatia Tuzo Mdogo wake abdu kwa kuupeleka muziki kimataifa na hajatangaza[emoji4][emoji4][emoji4]
Yes, na uzuri Wizkid ameanzisha tamasha lake Starboy Fest.Hao Tiwa savage na Wizkid wakiandaa tamasha lao kuna asilimia kubwa ya kumwalika Diamond. Hapo amejiandalia mazingira ya baadae ya kupiga pesa
Hao Tiwa savage na Wizkid wakiandaa tamasha lao kuna asilimia kubwa ya kumwalika Diamond. Hapo amejiandalia mazingira ya baadae ya kupiga pesa