Salute kwake.Msanii anaetamba na kibao cha "Mapozi" alicho washirikisha Jay Melody na Mr Blue msanii Diamond Platinumz, amewataka wapinzani wake waongeze juhudi maana hawamsumbui kabisa.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond ameandika,
"Dah Wapinzani wangu embu jitahidini basi jamani, maana namna hii hata Motisha yenyewe ya game inakuwa hamna sasa!".
View attachment 2890958
Diamond aliambatanisha maneno hayo na chart inayoonesha anaongoza kuwa na Views wengi kwenye Mtandao wa Youtube.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
kuna Local na international musicians.Na yeye aongeze juhudi amshide Wizikid ,Dacido na Burna boy maana anajuficha kwenye youtube ..lakini alipaswa kupambana kimataifa zaidi …
Diamond internationally ni kama ashagive up...hizo ligi haziweziNa yeye aongeze juhudi amshide Wizikid ,Dacido na Burna boy maana anajuficha kwenye youtube ..lakini alipaswa kupambana kimataifa zaidi …
Kwa hiyo ile MTV EMA ulichukua ww mkuu???? Au zile stadium shows za kimataifa huwa unafanya ww kiongozi????? Au huko sio international ni mbwindeDiamond internationally ni kama ashagive up...hizo ligi haziwezi
Mtv hata rayvany anayo...ongelea Grammy Hzo ndo level za kina burnaboy na remaKwa hiyo ile MTV EMA ulichukua ww mkuu???? Au zile stadium shows za kimataifa huwa unafanya ww kiongozi????? Au huko sio international ni mbwinde
Kwa music gani anaofanyaa? [emoji23][emoji23][emoji23]Aachane na bongo huku tunamjua vya kutosha, apambane huko dunian tumuone kwenye billboard na grammy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo atulizanee, awaache wanaojua watambe sio yeye uchwara wa madale.Diamond internationally ni kama ashagive up...hizo ligi haziwezi
Achukue kwan Grammys, ndo tutaona yeye ni bora, hizo tuzo uchwara hata Vanny boi anayo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo ile MTV EMA ulichukua ww mkuu???? Au zile stadium shows za kimataifa huwa unafanya ww kiongozi????? Au huko sio international ni mbwinde
Em tuambie Rayvanny alichukua MTV EMA mwaka gani na kipengele kp.... mambo mengine kwepeni aibu ndogo ndogoMtv hata rayvany anayo...ongelea Grammy Hzo ndo level za kina burnaboy na rema
Em taja MTV EMA aliyochukua Rayvanny, speaking of Rayvanny hizo ni efforts za Diamond pasipo Diamond Ray asingekuwa hapo.Achukue kwan Grammys, ndo tutaona yeye ni bora, hizo tuzo uchwara hata Vanny boi anayo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Showz za kimataifa zipi zitajee?