Diamond awatolea mapovu wanaomsakama Zari

Hahahahahahaha Diamond anajua sana kudeal na waswahili wenzake ana kwenda nao sambamba sana tena sana....

Jamani Zari ana vutia utafikiri ana miaka 20.
 
ni wale fans zake wanafki na wanaopenda kushabikia mambo yasiyowahusu,hata kama fans wake sio kumuingilia mambo yake ya ndanii, na ana haki hata ya kuwasemea ovyo, .
.....Mambo ya ndani ni yepi ikiwa wao wenyewe mambo yao ya faragha wanayamwaga mitandaoni daily ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi inamfaa nini mtu kuupata ufalme na utajiri wote wa dunia hii lakini mwisho wake ukawa moto wa milele? siwahukumu hawa kwamba wataenda motoni, ila namshauri zari na daimond wampokee Yesu. x wa zari alikuwa mganga wa kienyeji huko south, dai mwenyewe haeleweki kuna doubts kibao. aina ya maisha kama hayo yaniepuke mbali, bora nimpate Mungu.
 
Hawa ni waislamu ni vizuri kuwakumbusha tu wafate misingi ya dini husika bila kuwahukumu ya uganga sijui nn itakua poa
 
Best comment of the day in short jamaa hajielewi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anajuaje chupi zinanuka au anasema ya Zari Maana ndiyo anayoifunua au kuna nyingine ambazo anachepuka nazo pia,,?
 
Embu nusa chupi yako kwanza!!
 
Kibibi kimelala .

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.

hahahahaha we ntu Rari mkali asee acha chalii ale taratiibu unataka kumfananisha the boss lady na watoto wa madale 🙂 ?
 
Nimeipenda hiyo kauli


Pambaneni na MAHUSIANO YENU

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…