Diamond awatolea mapovu wanaomsakama Zari

Bila kumsahau mpiga picha kifesi
Ila dogo kwa kweli amejitahidi ku-create ajira maana huyo msela (Mwarabu) kila sehemu anakwenda nae maana wengine baunsa akiwa hapa nchini akienda nje ya nchi anampotezea lakini msela trip nyingi anakwenda nae
 
Atakuwa anamwambia Mange maana aliponda sana madame Rita analia Zari anamtumbua chunusi Diamond
 
Huyo ndio msanii wetu wa kimataifa anatoa maneno makali hivyo vichupi kunuka?? Daah
 
Wewe tangu lini umekuwa shabiki wa Mondi?
 
Wewe uliye mfollow ndo mwenye matatizo kwani kuna mahala amelitaja jina lako?
 
Nakumbuka mzee mmoja aliwahi niambie kwamba UMASIKINI NI MBAYA SANA kila kitu ambacho unauwezo nacho utakichukia sana. Ona mapovu yao sasa ju ya bwana diamond [emoji184]. Cha muhimu hapa kila mtu apambane na hali yake tu
 

Yote hiyo n pesa uyo unae msema hana PESA za kufanya hayo yote.pia maisha yake siyo nyimbo kua akufurahishe ww sw. Pambana n hali yako tu. Ndio suluhisho ya yote
 
The best message from.diamond in years
 
Una uhakika hautaenda motoni?
 
Kwa hiyo kama mtu kafa ndio na wengine wafe? Maisha ni lazima yaendelee. Kama msiba ni uchungu sana kwa nini watu wanapika na kula. Wakimaliza kula ndio wanaanza kulia upya. Let them have fun

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa hiyo wewe umeshajihakikishia huendi motoni? hakuna watu wanafiki kama walokole
 
The FACT isanaishi maisha anayotaka yeye na sio mnayotaka ninyi ......PERIOD

Pambana na hali yako maisha ya watu hayakuhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maajabu hapo, wapo kinadada wanajifanya wanajua kumsakama huyo jamaa mno na maisha yake kama vile wamemdhamini pumzi.

Wengine wakimwita domo mara mbaya, wakati akiombwa mzigo hata kwenye zizi la Ng'ombe upande wenye mbolea anaweza kulala akatanua miguu. Huo ubaya atakaokuwa anausema ni upi?


Kama aliweka kwenye akaunti yake hukupendezwa nayo, kilichokutuma ukaangalie ni kipi? Kama si kimbele front chako, wengine humu mna machafu hata Diamond akisimamishwa nanyi ataonekana malaika.
Kwanini msidili na yenu?


Ajabu jingine ni mtoto wa kiume naye kutoa kashfa hapo, nashangaa mno tumtofautishe vipi na hao mabinti. Mwacheni na maisha yake
 
The FACT is...anaishi maisha anayotaka yeye na sio mnayotaka ninyi vinuka mkojo......PERIOD

Pambana na hali yako maisha ya watu hayakuhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23

Unaonaje ukipambana na majukumu yako ,ukaacha kumjibia huyo domo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama anakupa karanga za bure[emoji23][emoji23]

ukweli ndio ameambiwa na ndio maana akapanic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…