Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
I agree with you had tufike hata level ya tecno itatuchukua more than 20years. Kushindwa kwetu tukubali mziki wetu haujafika mbali.Hata huyu aliyeweka huu uzi ameuweka kwa hasira ili kuwaumiza moyo ule upande wa pili, ila haiondoi ukweli kwamba "dawa ya kuondoa maumivu ya kukosa mwali, ni kukubali kuwa bado mziki wetu ni wakuunga unga" na bado tunasafari ndefu ya kuwafikia wenzetu.
Vionjo vya Naija & South si utamaduni wetu, na siwezi kuthamini eti kisa ni Mtz mwenzangu hapo nitakuwa naidanganya nafsi yangu..Watanzania tuna tatizo kubwa sana..hatupendi wala kuthamini vilivyo vyetu
Sio kweli mwaka jana diamond alishindaI agree with you had tufike hata level ya tecno itatuchukua more than 20years. Kushindwa kwetu tukubali mziki wetu haujafika mbali.
Umekariri mkuuHata huyu aliyeweka huu uzi ameuweka kwa hasira ili kuwaumiza moyo ule upande wa pili, ila haiondoi ukweli kwamba "dawa ya kuondoa maumivu ya kukosa mwali, ni kukubali kuwa bado mziki wetu ni wakuunga unga" na bado tunasafari ndefu ya kuwafikia wenzetu.
Bilioni moja na nusu kibongobongo ni milioni 300 iyo nyingi panga la madalali.Dar kiwanja tu huwa ghali bado na nyumba ndo isiseme na unakuta nyumba mbovu, kiwanja kidogo. Last year mbezi beach kiwanja tu hakijajengwa kilikua kinauzwa billion moja na nusu
Akili zingine bhana sasa nyumba na tuzo zinahusiana vipi?Vipi baada ya kukosa tuzo sasa ameamua kuonyesha picha ya nyumba sio!
Mtvmama2016 Kiboko ya maumivu
Sio dalali tena huyo baba alipunguza kiwanja kilikua billion Tatu hapoBilioni moja na nusu kibongobongo ni milioni 300 iyo nyingi panga la madalali.
Hili wazo limemjia baada ya kukosa tuzo na huo ndio ukweli, wote tunajua maumivu mtu anayopitia pale malengo aliyotegemea kuyatimiza yanaposhindikana..Akili zingine bhana sasa nyumba na tuzo zinahusiana vipi?
Wewe hukuona siku alipotangaza amenunua nyumba watu walimshambulia kawadanganya hana uwezo, leo kaamua kuwajibu mnasingizia tuzo
Inauma lakini..Ha ha ha. Wamesema "nyie mnazima maiki wao wanazima tuzo"
Mmmhhh domo kapanic hataree sio kwa povu hilo.
Ila hongera yake.
Ok sasa nimeamini ule msemo wa Bongo ni New York.Sio dalali tena huyo baba alipunguza kiwanja kilikua billion Tatu hapo
ule sio mjengo wa kiba ni duka la waturuki wanauza decorations mbali mbaliWote wanapitia katika kipindi kigumu, hawaamini kama wamekosa mwali .. Tuwasihi Zari & Jokate wawafariji na kuwatia moyo hawa mafahali wetu kwani wapo kwenye kipindi cha mpito wasije wakajidhuru bure..
Hahaa, haya,Sio kweli diamond nyumba tangu anunue hajawahi iona , leo kaamua kuwawakia wakina Mange kimambi
Sio kweli hiyo nyumba tangu anunue hakupata muda wa kwenda kuiona ndo kaenda sasaHili wazo limemjia baada ya kukosa tuzo na huo ndio ukweli, wote tunajua maumivu mtu anayopitia pale malengo aliyotegemea kuyatimiza yanaposhindikana..
Hahaa, haya,