heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
Ni nchini Congo on ziara yake ya music..akiwa kwenye msafara uliokuwa ukilindwa na maaskari na wanajeshi wa nchi hiyo ili tu diamond asipate madhara yoyote toka kwa umati mkubwa wa watu waliojitokeza baada ya kujua Diamond angepita maeneo hayo,baadhi ya watu nchini congo wamesema haijawahi tokea nchini humo mtu maarufu kufatwa na umati mkubwa kama ule
..IFIKE HATUA BAADHI YA WATANZANIA WANAO HATE,TUTOE SUPPORT NA TUKUBARI KILE ANCHOKIFANYA NA KUTANGAZA VIZURI NCHI YETU,KWA NINI NCHI ZA WENZETU WANASHOW LOVE YA KIASI HIKI,KWA NN SS??
PICHANI NI DIAMOND AKIWA ON COMBAT ZA JESHI LA CONGO NA UMATI ULOJITOKEZA NJIANI.......
its GOOD IDEAS that y mashabiki awachoki kwenda kwenye show zake kwan kila show analeta vitu vipya ndomana ndo msanii anayelipwa mkwanja mrefu kwa show moja..big up DIAMOND PLATNUMZ endealea kufanya kazi nzuriii.
..IFIKE HATUA BAADHI YA WATANZANIA WANAO HATE,TUTOE SUPPORT NA TUKUBARI KILE ANCHOKIFANYA NA KUTANGAZA VIZURI NCHI YETU,KWA NINI NCHI ZA WENZETU WANASHOW LOVE YA KIASI HIKI,KWA NN SS??
PICHANI NI DIAMOND AKIWA ON COMBAT ZA JESHI LA CONGO NA UMATI ULOJITOKEZA NJIANI.......
its GOOD IDEAS that y mashabiki awachoki kwenda kwenye show zake kwan kila show analeta vitu vipya ndomana ndo msanii anayelipwa mkwanja mrefu kwa show moja..big up DIAMOND PLATNUMZ endealea kufanya kazi nzuriii.